Mzee baba ndio victim kwa hio arena speaking from current experience hahah kajitu ka sentimita 40 kanalala sentimita za mraba 200 mama yake analala sentimita 80 sentimita 20 ndo dingirai anamiliki mgawanyo wa sita kwa sita apa pangoni kwangu
Huwa ninamuonea huruma baba akiamshwa na kelele za breast feeding time wakati asubuhi inammbidi aende kazini na mama bado yuko maternity leave.Mzee baba ndio victim kwa hio arena speaking from current experience hahah kajitu ka sentimita 40 kanalala sentimita za mraba 200 mama yake analala sentimita 80 sentimita 20 ndo dingirai anamiliki mgawanyo wa sita kwa sita apa pangoni kwangu
Tupe uzoefu wako mkuuUtanena kwa lugha, usiombee yakukute
Hahah hio shida haikeri lakin especially ndio kama ka first born unaenjoy sana bado kana amka kila baada ya masaa mawili kanawikaHuwa ninamuonea huruma baba akiamshwa na kelele za breast feeding time wakati asubuhi inammbidi aende kazini na mama bado yuko maternity leave.
Namshukuru Mungu watoto wangu huwa sio walizi, usiku huwa wanalala fofofo.Tupe uzoefu wako mkuu
Hii kweli maana nateseka balaa watu wawili wamemaliza kitanda chote mi nalalia ubao tuMzee baba ndio victim kwa hio arena speaking from current experience hahah kajitu ka sentimita 40 kanalala sentimita za mraba 200 mama yake analala sentimita 80 sentimita 20 ndo dingirai anamiliki mgawanyo wa sita kwa sita apa pangoni kwangu
Yaani huyu mwanangu nahisi ananifanyia visa maana haiwezekani akeshe usiku kucha halafu ikifika saa kumi na mbili asubuhi ndio analala, najikuta nagombana na mama yake bila sababuHuwa ninamuonea huruma baba akiamshwa na kelele za breast feeding time wakati asubuhi inammbidi aende kazini na mama bado yuko maternity leave.
Hayo ni maumivu matamuHuwa ninamuonea huruma baba akiamshwa na kelele za breast feeding time wakati asubuhi inammbidi aende kazini na mama bado yuko maternity leave.