mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,979
Hahah daah mahindra moja kati ya gari mvutolessYaani the new Jimny, Wrangler na G-wagon zote ziko on point, ila hawa TATA naona wametengeneza the Mahindra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah daah mahindra moja kati ya gari mvutolessYaani the new Jimny, Wrangler na G-wagon zote ziko on point, ila hawa TATA naona wametengeneza the Mahindra
Hehehee! Hawa jamaa wamezingua. Hivi kweli hili gani litatumika tena jeshini? Wamekosea saana.Hahah daah mahindra moja kati ya gari mvutoless
Hapo land rover wameshachemka.....Ndio kazi moja wapo ya dealership.
Unatakaje labda?
Yeah. lakini naamini nado zitakuwa na uwezo wa kuhimili shida za kiafrika kuliko hii landrover ninayoiona hapa...LC 200 wamesema wataacha kuzizalisha 2020 sijui.
Kuanzia 2021 wataleta Land Cruiser mpya kabisa.
mbona gari ni ya kazi hiyo......actually imedevelop zaidi kuliko ya zamani....kupitia YouTube account ya drive tribe wanasema landrover took 10 yrs to develop the whip on different areas and landscapes kama winter,dessert na sehemu zenye maji maji....shida gari hili inakuja kwamba kwa sisi wabongo kutengeneza ndo tabu but bado the thing is very hardcore....
dah.....maneno yangu sidhani yatatosha kukuaminisha kama unamuda ingia youtube look for dtivetribe....wameiongelea kwa undani zaidi tena aliyeipa sifa ni Richard Hammond yule jamaa wa grand tour...cjui unamfahamu?Hii sidhani kama itamfaa waziri wa naniliu kwenda nayo porini kuhesabu twiga zake ...
Nimeangalia hiyo video....dahh....ngoja tuje tuione kwenye uhalisia kama itafanikiwa kufika huku mapema....dah.....maneno yangu sidhani yatatosha kukuaminisha kama unamuda ingia youtube look for dtivetribe....wameiongelea kwa undani zaidi tena aliyeipa sifa ni Richard Hammond yule jamaa wa grand tour...cjui unamfahamu?
Tofauti kabisa na magari ya Toyota, Nissan, Mitsubishi (Japan) ukiua spare unaenda dukani na kuhudumiwa. We Tz nzima tukiua spare mpaka kwa dealer ?!.
Jamaa wamesahau kama kuna Africa?
Tuko pamoja mkuu.WALE KINA KALAGHABAO TUTAISHIA KUIWEKA WALLPAPER KWENYE SIMU NA LAPTOPS ZETU
Mimi ninayo Freelander ilinitesa . Ukiua spare mpaka kuagiza . Wafanye spare zao ziwe kama Toyota. Anytime, anywhere unapata huduma. Siyo mpaka dealer bhuaanaUkiwa na pesa hiyo sio ishu kubwa mkuu!!