game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,387
- 23,294
- Thread starter
- #41
Hapa kuna "extension thinking"!
Wanasema utakuwa na capacity ya abiria 6,000,000 kwa mwaka
Ukigawa kwa miezi 12 = 500,000 kwa mwezi
Ukigawa kwa kila siku = 16,700 kila siku
Ukigawa kwa kila saa = 694 kwa kila saa
Swali: Je, kuna manpower na equipments za kufanya clearance ya abiria takribani 694 kwa saa!? Maana kwa sasa clearance ya Precision unakuta saa nzima na ikija Emirates moja tu ndio usiseme.
Na je, kama uwanja unaweza kuwahudumia itakuwaje kwa barabara (Pugu Road yetu) ili kuwaingiza na kuwatoa hao abiria hapo airport!? Tutakiane kila la kheri!
Hoja zako zina Mashiko,
Nadhani wapo humu wanapita,
maana kuna wakati pale kwenye vibanda vineandikwa Passport control huwa ni kero sana,
Niliona ajira zimetangazwa, Hope watawapa na Training pia.