The New Dr Shein's Cabinet

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,422
911,172
Sera za Chadema za serikali ndogo sasa yaelekea CCM wamezivalia njuga na yeye Dr. Shein leo ITV wametuhabarisha kaunda serikali ndogo ya mawaziri 16................7 kutoka CUF na 9 kutoka CCM na manaibu wao 6..........................

Sikulisikia jina la waziri kiongozi wa zamani............nafikiri panga la kugombea uraisi na kuuokosa limempitia.................
 
Wana jf, nimesikia kwa mbali tbc 1 kuwa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar ameteua baraza lake la mawaziri, mwenye habari zaidi atujuze, na hasa kama shamsi vuai nahodha kapata nafasi yoyote kwenye baraza hilo maana yeye alikuwa msitari wa mbele kupinga maridhiano ya wazanzibar.
 
JK nae atacopy na kupaste

Yaelekea hiyo ndiyo sera ya kimyakimya ya CCM kuiba sera za Chadema huko majukwaani wanawaponda........kuwa ni fotokopi kumbe ni wao CCM ambao sasa ni fotokopi.............................Hii ndicho ambacho nilikisema awali ya kuwa JK atatawala lakini Dr. Slaa ataiongoza nchi kwa maana ya kuwa JK atatekeleza matakwa yote ya Dr. Slaa ili kutafuta kukubalika lakini hatakubalika hadi pale atakapokiri hadharani ya kuwa uchaguzi wa 2010 haukuwa wa huru na wa haki................
 
Mwenye data atupe majina yamawazir ila mm nimeliskia juma duni wazir wa afya na abuubakar khamis wazir washeria,nimeipata tbc1 habari ila ilikua mwisho sikuipata kamili habari hii,mwenye data kamili atupatie please.
 
Hili ni baraza la serikali ya mapinduzi ya zanzibar
1. Waziri wa nchi afisi ya rais na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk mwinyihaji makame
2. Waziri wa nchi afisi ya rais fedha uchumi, mipango na maendeleo, mhe omar yussuf mzee.
3. Waziri wa nchi afisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora. Mhe haji omar kheir
4. Wizara ya nchi afisi ya makamo wa kwanza wa rais waziri ni mhe fatma abdul habib fereji na waziri wa nchi afisi ya makamu wa pili wa rais ni mhe mohd aboud mohd.
5. Wizara katiba na sheria mhe abuu bakar khamis bakar,
6. Wizara ya miundombinu na wawasiliano mhe hamad masoud hamad na naibu wake mhe issa haji ussi
7. Wizara ya elimu na mafunzo ya amali mhe ramadhan abdalla shaaban, naibu wake mhe zahra ali hamad
8. Wizara ya afya mhe juma duni haji naibu wake dk sira ubwa mamboya
9. Wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya wanawake na watoto mhe zainab omar mohd.
10. Wizara ya habari, utamaduni, utalii na michezo mhe abdilahi jihad hassan, naibu wake.
11. Wizara ya ardhi makaazi, maji na nishati mhe ali juma shamhuna, naibu wake mhe haji mwadini makame
12. Wizara ya kilimo na maliasili mhe mansour yussuf himid,
13. Wizara ya biashara viwanda na masoko mhe nassor ahmed mazrui, naibu wake mhe thuwaiba edinton kisasi.
14. Wizara ya mifugo na uvuvi mhe said ali mbarouk
15. Wizara ya kazi, uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika mhe haroun ali sleiman.
16. Mhe sleiman othman nyanga, mhe haji faki shaali na mhe machano othman said ni mawaziri wasio na wizara maalum.
 
Baraza la serikali zanzibar ni hili
1. Waziri wa nchi afisi ya rais na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk mwinyihaji makame
2. Waziri wa nchi afisi ya rais fedha uchumi, mipango na maendeleo, mhe omar yussuf mzee.
3. Waziri wa nchi afisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora. Mhe haji omar kheir
4. Wizara ya nchi afisi ya makamo wa kwanza wa rais waziri ni mhe fatma abdul habib fereji na waziri wa nchi afisi ya makamu wa pili wa rais ni mhe mohd aboud mohd.
5. Wizara katiba na sheria mhe abuu bakar khamis bakar,
6. Wizara ya miundombinu na wawasiliano mhe hamad masoud hamad na naibu wake mhe issa haji ussi
7. Wizara ya elimu na mafunzo ya amali mhe ramadhan abdalla shaaban, naibu wake mhe zahra ali hamad
8. Wizara ya afya mhe juma duni haji naibu wake dk sira ubwa mamboya
9. Wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya wanawake na watoto mhe zainab omar mohd.
10. Wizara ya habari, utamaduni, utalii na michezo mhe abdilahi jihad hassan, naibu wake.
11. Wizara ya ardhi makaazi, maji na nishati mhe ali juma shamhuna, naibu wake mhe haji mwadini makame
12. Wizara ya kilimo na maliasili mhe mansour yussuf himid,
13. Wizara ya biashara viwanda na masoko mhe nassor ahmed mazrui, naibu wake mhe thuwaiba edinton kisasi.
14. Wizara ya mifugo na uvuvi mhe said ali mbarouk
15. Wizara ya kazi, uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika mhe haroun ali sleiman.
16. Mhe sleiman othman nyanga, mhe haji faki shaali na mhe machano othman said ni mawaziri wasio na wizara maalum.

Wengine ni walewale walewael
 
Baraza la serikali zanzibar ni hili
1. Waziri wa nchi afisi ya rais na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk mwinyihaji makame
2. Waziri wa nchi afisi ya rais fedha uchumi, mipango na maendeleo, mhe omar yussuf mzee.
3. Waziri wa nchi afisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora. Mhe haji omar kheir
4. Wizara ya nchi afisi ya makamo wa kwanza wa rais waziri ni mhe fatma abdul habib fereji na waziri wa nchi afisi ya makamu wa pili wa rais ni mhe mohd aboud mohd.
5. Wizara katiba na sheria mhe abuu bakar khamis bakar,
6. Wizara ya miundombinu na wawasiliano mhe hamad masoud hamad na naibu wake mhe issa haji ussi
7. Wizara ya elimu na mafunzo ya amali mhe ramadhan abdalla shaaban, naibu wake mhe zahra ali hamad
8. Wizara ya afya mhe juma duni haji naibu wake dk sira ubwa mamboya
9. Wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya wanawake na watoto mhe zainab omar mohd.
10. Wizara ya habari, utamaduni, utalii na michezo mhe abdilahi jihad hassan, naibu wake.
11. Wizara ya ardhi makaazi, maji na nishati mhe ali juma shamhuna, naibu wake mhe haji mwadini makame
12. Wizara ya kilimo na maliasili mhe mansour yussuf himid,
13. Wizara ya biashara viwanda na masoko mhe nassor ahmed mazrui, naibu wake mhe thuwaiba edinton kisasi.
14. Wizara ya mifugo na uvuvi mhe said ali mbarouk
15. Wizara ya kazi, uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika mhe haroun ali sleiman.
16. Mhe sleiman othman nyanga, mhe haji faki shaali na mhe machano othman said ni mawaziri wasio na wizara maalum.

Wengine ni walewale walewael

coloured; mbona sioni ile kitu "wanawake" ndo zamu yao?
 
[FONT=times new roman, new york, times, serif][FONT=times new roman, new york, times, serif]Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Vifungu 42 (1) na (2), 43 (1) na (2) na 47 vya Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein ameunda Wizara 16 na kuwateua Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi, Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:[/FONT]

[FONT=times new roman, new york, times, serif]1. Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi-
Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame

2. Ofisi ya Rais (Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Fedha, Uchumi, na Mipango ya Maendeleo)
Mhe. Omar Yussuf Mzee

3. Ofisi ya Rais, (Utumishi wa Umma na Utawala Bora)-


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi wa Umma na Utawala Bora)
Mhe. Haji Omar Kheri

4. Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais
Mhe. Fatma Abdulhabib Fereji.

5. Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais-

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
Mhe. Mohammed Aboud Mohammed

6. Wizara ya Katiba na Sheria

Mhe. Aboubakar Khamis Bakary.

7. Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano

Mhe. Hamad Masoud Hamad

8. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban

9. Wizara ya Afya


Mhe. Juma Duni Haji

10. Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Wanawake na Watoto

Mhe. Zainab Omar Mohammed

11. Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo


Mhe. Abdilahi Jihad Hassan


12. Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati-


Mhe. Ali Juma Shamhuna

13. Wizara ya Kilimo na Maliasili


Mhe. Mansoor Yussuf Himid


14. Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko

Mhe. Nassor Ahmed Mazrui

15. Wizara ya Mifugo na Uvuvi


Mhe. Said Ali Mbarouk

16. Wizara ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika


Mhe. Haroun Ali Suleiman

17. Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum


Mhe. Suleiman Othman Nyanga

18. Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum


Mhe. Haji Faki Shaali

19. Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum


Mhe. Machano Othman Said

Aidha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohammed Shein ameteua Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:

1. Naibu Waziri, Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano

Mhe. Issa Haji Ussi

2. Naibu Waziri, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali


Mhe. Zahra Ali Hamad

3. Naibu Waziri, Wizara ya Afya


Mhe. Dr. Sira Ubwa Mamboya

4. Naibu Waziri, Wizra ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo,


Mhe. Bihindi Hamad Khamis

5. Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati

Mhe. Haji Mwadini Makame

6. Naibu Waziri, Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko,

Mhe. Thuwaiba Edington Kissasi


Waheshimiwa wote waliotajwa wanatarajiwa kuapishwa hapo kesho jioni katika viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar.


NOTE: Wenye red ndio wa CUF-niliowagundua haraka haraka
[/FONT]
[/FONT]
 
Nahodha wapi jamani? au katupwa kapuni na kuondoka na Karume? Serikali hii haina kujuana na kulindana? hahahahahahaha
 
Jamani Vuai Nahodha kulikoni? Ana bifu gani na Shein? Mbona mimi nilikuwa namuona kuwa ni mtendaji makini sana? Au Shein naye ni mtu wa visasi?
 
Kwanza sio sahihi kwamba baraza la SMZ lina mawaziri 16. Nimesoma list yote nimekuta namba 5 kuna mawaziri 2, mmoja wa Makamu wa Kwanza wa Rais na mwingine wa Makamu wa Pili wa Rais na wote ni mawaziri kamili.

Namba 16 kuna mawaziri 3, ambao ni wasiokuwa na wizara maalum. Hii title ni ya siku nyingi sana na ilikuwa imepotea, naona imeibuka tena.

Hivi majukumu ya Waziri asiye na wizara maalum ni nini? Mawaziri 3, hawana wizara maalum, hatujui wanafanya nini na bado wanaendelea kulipwa kwa kazi ambazo hazijulikani?

Takwimu zangu zinaonyesha kwamba Mifugo ni sekta ndogo sana Zanzibar. Kwa hiyo kuna wizara 2 ambazo zinaweza kuunganishwa na bado kusiwe na tatizo kiungozi. Wizara ya Kilimo na Maliasili ingeunganishwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Bado Baraza la Mawaziri ni kubwa. Nilitarajia kwamba Jussa angekuwa mmoja wa mawaziri, naona imekula kwake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom