Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 248
Nadhani Pinda liwalo na liwe, apigwe tu, yeye ndiye mid-fielder wa game zima, alijua yote aka-mute na alikuwa na uwezo wa kuzuia. Maneno yake yanamrudia. VIVA LOWASSAumemsahau CHENGE kubwa la maadui
je bado yupo nchini hadi mda huu?.sidhani.