ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Nilikuwa na tafuta taarifa fulani kuhusu Mkoa wa Ruvuma kupitia mtandao nikakutana na tovuti zaidi ya tatu zinaelezea kabila la watu wasomi zaidi hili:
Sina uhakika sana kuhusu taarifa hizi ambayo ipo kwenye tovuti karibia tatu kwa kuwa nimeshindwa kupata kwa kina uthibitsiho. Na kwa mtazamo wangu, hata katika maeneo husika tofauti na ilivyokuwa zaman, hakuna kumbukumbu zozote za kujua takwimu halisi za wasomi au nasaba ya vizazi (family tree).
Na kwa kuwa taarifa kama hizi za kihistoria zinawekwa kwenye kumbukumbu za mtandao (zinazosomwa kote duniani) kwa makusudi maalumu ambavyo kimsingi ni vizuri zikapata uthibitisho wa kina ikiwemo vigezo.
Je, historia yetu inapotea kutokana na kukua kwa teknologia?...Kwa mtazamo wangu kungekuwa na jitihada za makusudi kwa maeneo husika kufuatilia kwa kina na kutunza kumbukumbu muhimu ili hata dhana ya kuwepo kwa makumbusho yetu iwe na mantiki.
<H1 class=firstHeading>Ruvuma
Ruvuma is a region in Tanzania. Ruvuma has a lot of tribes. The most educated is the Wanyasa from Mbamba Bay along Lake Nyasa, especially from Linda Village.
Tovuti husika ni:
Sina uhakika sana kuhusu taarifa hizi ambayo ipo kwenye tovuti karibia tatu kwa kuwa nimeshindwa kupata kwa kina uthibitsiho. Na kwa mtazamo wangu, hata katika maeneo husika tofauti na ilivyokuwa zaman, hakuna kumbukumbu zozote za kujua takwimu halisi za wasomi au nasaba ya vizazi (family tree).
Na kwa kuwa taarifa kama hizi za kihistoria zinawekwa kwenye kumbukumbu za mtandao (zinazosomwa kote duniani) kwa makusudi maalumu ambavyo kimsingi ni vizuri zikapata uthibitisho wa kina ikiwemo vigezo.
Je, historia yetu inapotea kutokana na kukua kwa teknologia?...Kwa mtazamo wangu kungekuwa na jitihada za makusudi kwa maeneo husika kufuatilia kwa kina na kutunza kumbukumbu muhimu ili hata dhana ya kuwepo kwa makumbusho yetu iwe na mantiki.