Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unawazungumzia wakina country boyHiphop gani waimbaji wenyewe wengine wamevaa kama mabinti na kulegealegea?
Album anazo zaidi ya tatu peke yake na Mbili za watengwa km crew...bro JCb ni habari nyingine uliza ma mc wanavyo mhanya kwa uwezo alonao
Single ngapi za nikki unazijua?[/QUOTE]Unaifaham misingi ya hip hop vzur pa1 na element zake na utamaduni wake kwa ujumla???? Nikkimbishi is an exceptional in hip hop fanya utaft utagundua hloMleta mada huyo nickmbish ni mburudishaji sawa na densa tu kwani baada kushinda mkali wa free style na kuachia wimbo wa play boy kashindwa ishawishi hadhira yeye ni msanii kabaki kuwa msanii wa harakati tu na kulaumu laumu kazidiwa hata na Godzilla ambaye wote walijulikana kupitia lile shindano la free style kwaiyo nickmbish mtoe hapo
Vile vile JCB mtoe hata kama unamini anajua uthibitisho upo wapi yani kazi zake zinazoweza mshawishi mtu akamini kuwa uyu ni bora
Fid Q sawa
J MO sawa
Prof sawa na hakuna Mc akili smart kama uyu wote waimbe ila prof atabaki kuwa the best ever kwani tungo zake zinaisha milele
I second you bruh, Dizasta vina yuko vizuri sanaa..ana uandishi, vina, punchlines na flow. Kikubwa ana stick kwenye content, watu wanamu underrate sanadizasta vina namkubali kwa flow, anastick kwenye content dah ukiskiliza kazi zake unafeel uhalisia wa hip hop but he is underrated