Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,366
- 205,745
NdioHivi John Stones majeruhi au?
NdioHivi John Stones majeruhi au?
Kama ni hivyo ule ni usengengenyaji/ulambaji kisogoMane na ww usikubali kumpa assist salah tena View attachment 1195798
CB positions ni critical sana kibaya zaidi Philip Sandler yupo mkoponi, John Stones majeruhiLaporte serious injured.
Kazi ipo pale nyuma.
Liverpool walipost video wakati wanatoka uwanjan kwenye corido jamaa bado kamaind.Kama ni hivyo ule ni usengengenyaji/ulambaji kisogo
Ilifaa akutane na Salah kama Salah wayaongee na kama maongezi na Salah hayakuzaa matunda ndio apande kwa wakubwa wa team/Club
January inatuhusu.CB positions ni critical sana kibaya zaidi Philip Sandler yupo mkoponi, John Stones majeruhi
Ninawaona mkianza kukiona cha moto
Kweli Mtaisoma namba yaani madogo wanaograduate Academy ndio wakipige beki ya kati?January inatuhusu.
Fern sio mrefu ki hvyo kucheza cb ndo wakina otamendi.
Sasa option ni bwnaa walker kukaa kati cancelo kwenda pembeni. Ama eric garcia na mwenzake.
Maana hawa madogo wana train na first team msimu huu.
Jiulize je Huko national team Bernado Silva anamzidi Ronaldo magoli? Usimback mchezaji kwa sababu tu ni mchezaji wa Club yakoBernado silva ni mchezaji bora wa uefa nations league , alafu tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ya portugal wamempa Ronaldo. Hv kweli vituko.
BernardoCSilva on City players being snubbed for individual awards: “We talk about it, and we feel it is unfair, but what matters is that we have won four titles and I have even added it to the Euro Nations. But the nominee is entitled to choose the players..."
umeambiwa ni mchezaji bora wa mashinano. FA ya Portugal imemuogopa CR7 . Na ni sahihi kwa namna fulani kwa vile CR7 hakawii kununa timu ikawa hovyo. By the way CR7 ni wa muhimu sana Portugal National team kuliko BernardoJiulize je Huko national team Bernado Silva anamzidi Ronaldo magoli? Usimback mchezaji kwa sababu tu ni mchezaji wa Club yako
Naona hujanipata vzr.Jiulize je Huko national team Bernado Silva anamzidi Ronaldo magoli? Usimback mchezaji kwa sababu tu ni mchezaji wa Club yako
Wachezaji wasio na majina huwa wanachukuliwa poa sana.umeambiwa ni mchezaji bora wa mashinano. FA ya Portugal imemuogopa CR7 . Na ni sahihi kwa namna fulani kwa vile CR7 hakawii kununa timu ikawa hovyo. By the way CR7 ni wa muhimu sana Portugal National team kuliko Bernardo
Unajua zinchenko timu ya taifa kwa ssa anacheza kama holding midfield na ana perform saf kabisa.Baada ya Centerback kubakia Otamendi pekee yake ladies and gentlemen CB wanaongezeka Walker na