The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Inasemekana total football sio nzuri kwenye UEFA, kuna baadhi wanadai timu zinazocheza Total football haziwezi fua dafu mbele ya timu ambazo hazina tiki-taka
Ni kweli kabisa,maana timu huwa zinafocus kupta matokeo hasa kwenye mtoano, mpaka fainali,timu nyingi huwa zinajilinda Sana na kushambulia kwa kuvizia.
 
tapatalk_1567099397722.jpeg
 
Back
Top Bottom