Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spurs tusipomfunga ss hamna tim ya kumfunga haha
Naona unajifariji.Man city lazima afungwe leo
Leo tunachezesha kikosi BMan city lazima afungwe leo
Waarabu washafanya ya kwako nyuma ya pazia..Hakuna kufungiwa usajili.
Fifa wametupiga fain ya £350k tu, bila adhabu ya kufungiwa usajili kama chelsea.
Na io hela imelipwa mapema sanaaaa
Guardiola inabidi ashtuke mapema maamuzi ya VAR siku zote nikuizuia City.
Juhudi zao za wazi zitagonga mwamba