SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,748
'Muda ukifika'. mausajili shendele hata nusu hamgusiSijakubishia kuhusu uchanga wa Man City...
But at the moment,Man City is one of the best teams in the World..!
Hiyo UEFA ikifika muda ataibeba tu...
Kwani Chelsea amebeba UEFA ngapi chief..?
Man Utd&Liverpool have history,Man City is creating it's own version of history..!
Kwasasa nafurahia kuiona Man City ikitengeneza historia,ni raha sana kuishuhudia timu yako ikitengeneza historia kuliko kusoma historia ya timu yako kwenye mitandao..!
Hiyo UEFA ambayo unaizungumzia tutaibeba tu muda wa kufanya hivyo ukifika...
Tena nikwambie tu,as long as Man City anaendelea kubeba vikombe kila msimu,ndivyo anavyoendelea kutengeneza hiyo historia unayoizungumzia..!
Nikwambie tu,ndani ya miaka 10 iliyopita Man City imebeba zaidi ya makombe 10..!
Pia usisahau,HAKUNA UBINGWA/KIKOMBE KIDOGO,ukizungumzia mafanikio ya timu unataja vikombe vyote ambavyo imewahi kuchukua..!
MWISHO: Nafurahi kuwa shabiki wa Man City kwa wakati huu,kwasababu nashuhudia timu changa ikijitengenezea historia yake ya kipekee kabisa..!
Na huo ubingwa wa UEFA utabebwa tu muda ukifika..!