CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,570
- 880
Ila dakika ya 72 anaongoza kwa goli 4 , ivi alishindwa kweli kumtengenezea Aguero kiatu kweli?PEP leo hakuwa na furaha sana .
Inaonyesha uefa ilimuumiza sana.
Next season kutachimbika sio siri.