The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Nilikuwa nategemea kwa kipigo kile kuna timu zitajifunza kitu lakini wap nimekutana na shabiki wa arsenal anasema chelsea nimemuotea angekuwa yeye asingefungwa vile


cityzen chairman am here
 
PSG kafanya sahihi kunoa kisu. Kisu kabla hakijachinja kinapita kwenye friction kidogo.
PSG ni timu bora. Na wanastaili pongezi. Sijawahi kuwa mfuatiliaji wa soka hapo nyuma ila niliingia ktk sika kipindi mancity anamtandika man u goli 6 kwa moja. Ila kwa mpira wa psg walioucheza na man u jana. Mpaka kuichabanga man u goli mbili kwa nunge, ingenguwa ni man city tungelala pia tena kwa goli nyingi zaidi. Maana man city angecheza kwa kujiamini kuwa watashinda ila kwa mchezo wa jamaa jana ingekula kwetu. Mbappe anaspidi ya ajabu sana. Ila man u aliingia akijua kabisa atapigwa kwahiyo alicheza kujahami akacheza kila aina na mpira mpaka kupata red card.
Ila sisi kama city tumejifunzia kwao. Hiyo siku ya fainali maana itakuwa kati ya city na psg. Tutawabwaga.
Ila namuomba Pep asiweke wachezaji wenye hasira. Tutakula red.
 
Timu kama PSG mimi hawezi kunifunga kwa mpira ule labda aje na IRIZi hapo kweli ila sio kwa uwezo

cityzen chairman am here
 
R.I.p zilla
IMG_201812339_125855.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mashabiki wenzangu wa etihad leo kuna msiba pande flani hivi mida mida so,

tusikose kwenda kutoa support wakuu

cityzen chairman am here
 
mashabiki wenzangu wa etihad leo kuna msiba pande flani hivi mida mida so,

tusikose kwenda kutoa support wakuu

cityzen chairman am here
Ukijitokeza tu atakimbia.
Hivi paka akikalia mkia wake kuna wa kumuuliza?
Amekalia mkia wake akiwa anamsubiri jogoo atoke kwenye kibanda chake. Sasa ukijitojeza wewe atakimbia buree halafu jogoo atoke kiulaini.
Kiufupi sisi tusiende kwenye huo msiba. Maana paka atakuwepo na akituona atakimbia.
 
PSG ni timu bora. Na wanastaili pongezi. Sijawahi kuwa mfuatiliaji wa soka hapo nyuma ila niliingia ktk sika kipindi mancity anamtandika man u goli 6 kwa moja. Ila kwa mpira wa psg walioucheza na man u jana. Mpaka kuichabanga man u goli mbili kwa nunge, ingenguwa ni man city tungelala pia tena kwa goli nyingi zaidi. Maana man city angecheza kwa kujiamini kuwa watashinda ila kwa mchezo wa jamaa jana ingekula kwetu. Mbappe anaspidi ya ajabu sana. Ila man u aliingia akijua kabisa atapigwa kwahiyo alicheza kujahami akacheza kila aina na mpira mpaka kupata red card.
Ila sisi kama city tumejifunzia kwao. Hiyo siku ya fainali maana itakuwa kati ya city na psg. Tutawabwaga.
Ila namuomba Pep asiweke wachezaji wenye hasira. Tutakula red.
PSG ni timu bora. Na wanastaili pongezi. Sijawahi kuwa mfuatiliaji wa soka hapo nyuma ila niliingia ktk sika kipindi mancity anamtandika man u goli 6 kwa moja. Ila kwa mpira wa psg walioucheza na man u jana. Mpaka kuichabanga man u goli mbili kwa nunge, ingenguwa ni man city tungelala pia tena kwa goli nyingi zaidi. Maana man city angecheza kwa kujiamini kuwa watashinda ila kwa mchezo wa jamaa jana ingekula kwetu. Mbappe anaspidi ya ajabu sana. Ila man u aliingia akijua kabisa atapigwa kwahiyo alicheza kujahami akacheza kila aina na mpira mpaka kupata red card.
Ila sisi kama city tumejifunzia kwao. Hiyo siku ya fainali maana itakuwa kati ya city na psg. Tutawabwaga.
Ila namuomba Pep asiweke wachezaji wenye hasira. Tutakula red.
PSG ni timu bora. Na wanastaili pongezi. Sijawahi kuwa mfuatiliaji wa soka hapo nyuma ila niliingia ktk sika kipindi mancity anamtandika man u goli 6 kwa moja. Ila kwa mpira wa psg walioucheza na man u jana. Mpaka kuichabanga man u goli mbili kwa nunge, ingenguwa ni man city tungelala pia tena kwa goli nyingi zaidi. Maana man city angecheza kwa kujiamini kuwa watashinda ila kwa mchezo wa jamaa jana ingekula kwetu. Mbappe anaspidi ya ajabu sana. Ila man u aliingia akijua kabisa atapigwa kwahiyo alicheza kujahami akacheza kila aina na mpira mpaka kupata red card.
Ila sisi kama city tumejifunzia kwao. Hiyo siku ya fainali maana itakuwa kati ya city na psg. Tutawabwaga.
Ila namuomba Pep asiweke wachezaji wenye hasira. Tutakula red.
PSG ni timu bora. Na wanastaili pongezi. Sijawahi kuwa mfuatiliaji wa soka hapo nyuma ila niliingia ktk sika kipindi mancity anamtandika man u goli 6 kwa moja. Ila kwa mpira wa psg walioucheza na man u jana. Mpaka kuichabanga man u goli mbili kwa nunge, ingenguwa ni man city tungelala pia tena kwa goli nyingi zaidi. Maana man city angecheza kwa kujiamini kuwa watashinda ila kwa mchezo wa jamaa jana ingekula kwetu. Mbappe anaspidi ya ajabu sana. Ila man u aliingia akijua kabisa atapigwa kwahiyo alicheza kujahami akacheza kila aina na mpira mpaka kupata red card.
Ila sisi kama city tumejifunzia kwao. Hiyo siku ya fainali maana itakuwa kati ya city na psg. Tutawabwaga.
Ila namuomba Pep asiweke wachezaji wenye hasira. Tutakula red.
kavute bange tu kuchamgua mpira hauwezi bibie
 
possible line wanangu

#ederson
#kyle walker
#john stones
#A .laporte
#zinchekko

kelvin de bruyne
fernadinho
benardo silva
Iklay gundogan

#rahim sterling
#chelsea aguero


cityzen chairman am here
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom