Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,216
- 36,203
Hi everyone,
I hope you have a bright Sunday, Super weekend na nini na nini hata kama mambo yako ndivyo sivyo, have faith it’ll come your way just work hard.
Sasa bana, huku nnakoishi uswazi, mlango wa kuingia kwangu unatizamana na mlango wa jirani yangu ambaye huwa hatuonani kutokana na shughuli zake. Anatoka alfajiri sijui anarudigi saa ngapi, siku tukibahatika tunakutana kwenye korido au getini aidha yeye anaingia mie natoka ama yeye anatoka mie naingia.
Jirani huyu tunashea kamba za kuanikia nguo kiasi kwamba siku akifua yeye basi nasubiri hadi aanue nguo zake nami ndo nifue. Na maisha yetu yameenda hivyo kwa kitambo bila kukwaruzana.
Wiki la juzi nimerudi kutoka kwenye shughuli zangu nshakula sasa niko mezani napanga mambo ya kesho yake na kurudisha jumbe na simu za siku nzima. Mishale ya saa tano na nusu hivi nasikia jirani anafungua milango anafunga.
Mara paaap nasikia mlango wangu unagongwa, khaaaa. Niliogopaaa nikasema usiku huu nikimfungulia itakuwaje, what if... what if.... what if. Mie mwanamke ujue halafu.
Akili yangu ikanizidi akili nikanyanyuka kwenye kiti kwa kunyata nikaenda chumbani kimya kimya bila hata kuzima taa na sendoz zangu za ndani niliziacha mezani.
Huo usiku ukapita bila kujua alitaka kunisemesha nini.
Ila msema kweli mpenz wa Mungu, acha niseme ukweli. Sikuidhulumu nafsi yangu ila najijua nilikuwa na minyege usiku ule ningefungua mlango walaah angenikula kirahisi sanaaa.
Sasa acha nisimulie kilichotokea jana usiku...😋😜
Mapema tuu niko nyumbani nakarangiza kwenye saa moja na nusu hivi nasikia hodi kufungua jirani. Nikamkaribisha ila hakuingia ndani akasema nitoke nje tukaanza maongezi kwenye korido.
Khaa...! Saa nzima ikakatika hapo tumesimama ni alfu lela ulela, nikajistukia narembua sana macho. Nikamkatisha samahani muda wangu wa kupata mlo wa usiku unapita karibu tukae wote mezani. Akasema hapana niendelee yeye akatoka kwenda kitaani.
Nikajifungia ndani kwangu nikala nikaosha vyombo usiku mzima ananijia akilini.....yaani namuwazaaa
Sitaki kumuelezea namna alivyo siajabu yuko humu, ila sitaki kuharibu ujirani wetu.
Eeehh maisha haya, bora nifikishe miaka 60 niache nyegee....😜😜😅😅😅😅
The Man Next Door is Senior Bachelor just like Granny Kasie 😋.
Kasie Mahaba.
I hope you have a bright Sunday, Super weekend na nini na nini hata kama mambo yako ndivyo sivyo, have faith it’ll come your way just work hard.
Sasa bana, huku nnakoishi uswazi, mlango wa kuingia kwangu unatizamana na mlango wa jirani yangu ambaye huwa hatuonani kutokana na shughuli zake. Anatoka alfajiri sijui anarudigi saa ngapi, siku tukibahatika tunakutana kwenye korido au getini aidha yeye anaingia mie natoka ama yeye anatoka mie naingia.
Jirani huyu tunashea kamba za kuanikia nguo kiasi kwamba siku akifua yeye basi nasubiri hadi aanue nguo zake nami ndo nifue. Na maisha yetu yameenda hivyo kwa kitambo bila kukwaruzana.
Wiki la juzi nimerudi kutoka kwenye shughuli zangu nshakula sasa niko mezani napanga mambo ya kesho yake na kurudisha jumbe na simu za siku nzima. Mishale ya saa tano na nusu hivi nasikia jirani anafungua milango anafunga.
Mara paaap nasikia mlango wangu unagongwa, khaaaa. Niliogopaaa nikasema usiku huu nikimfungulia itakuwaje, what if... what if.... what if. Mie mwanamke ujue halafu.
Akili yangu ikanizidi akili nikanyanyuka kwenye kiti kwa kunyata nikaenda chumbani kimya kimya bila hata kuzima taa na sendoz zangu za ndani niliziacha mezani.
Huo usiku ukapita bila kujua alitaka kunisemesha nini.
Ila msema kweli mpenz wa Mungu, acha niseme ukweli. Sikuidhulumu nafsi yangu ila najijua nilikuwa na minyege usiku ule ningefungua mlango walaah angenikula kirahisi sanaaa.
Sasa acha nisimulie kilichotokea jana usiku...😋😜
Mapema tuu niko nyumbani nakarangiza kwenye saa moja na nusu hivi nasikia hodi kufungua jirani. Nikamkaribisha ila hakuingia ndani akasema nitoke nje tukaanza maongezi kwenye korido.
Khaa...! Saa nzima ikakatika hapo tumesimama ni alfu lela ulela, nikajistukia narembua sana macho. Nikamkatisha samahani muda wangu wa kupata mlo wa usiku unapita karibu tukae wote mezani. Akasema hapana niendelee yeye akatoka kwenda kitaani.
Nikajifungia ndani kwangu nikala nikaosha vyombo usiku mzima ananijia akilini.....yaani namuwazaaa
Sitaki kumuelezea namna alivyo siajabu yuko humu, ila sitaki kuharibu ujirani wetu.
Eeehh maisha haya, bora nifikishe miaka 60 niache nyegee....😜😜😅😅😅😅
The Man Next Door is Senior Bachelor just like Granny Kasie 😋.
Kasie Mahaba.