TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,829
- 11,204
Kafupiiiiii alafu anasimamia sheria mbovu kama hivi hazina hata lengo la kumfundisha mchezaji zaidi ya kumkoa.
Shika adabu yako!! wewe unajua mimi nina futi ngapi?
Kafupiiiiii alafu anasimamia sheria mbovu kama hivi hazina hata lengo la kumfundisha mchezaji zaidi ya kumkoa.
hii hapa ndio naona kidogo wamsamehe manake kama kuzomewa tulimzomea sana na tutaendelea kumzomea kwahio ilikuwa haki yake kushangilia vile.hata ningekuwa mimi ningeshangilia vile.Na bado anasubiri Adhabu nyingine kwa kushangilia gori kwa kuwazomea washabiki wa ArsenaL!
Adebayor also faces an improper conduct charge for his goal celebration in front of the Arsenal supporters.
A separate date will be arranged for a commission to consider that charge, with City have until 30 September to respond.
Poleni washabiki wa Man City
Sababu wanajua angeliwaliza Man Utd!
Wananenepa kama mwakalebela?
11/10/1992, Lusaka, Independence Stadium World Cup Qualifier
ZAMBIA 2 (Jonson Bwalya 20', Lelvin Mutale 30')
TANZANIA 0
Zambia: David Chabala, Peter Mwanza, Samuel Chomba, Eston Mulenga, Whiteson Changwe, Derby Makinka, Moses Chikwalakwala, Patrick Banda, Kelvin Mutale, Kalusha Bwalya, Jonson Bwalya
Tanzania: Steven Hemes, David Mwakalebela, Keneth Mkapa, Willy Martin, Edibily Lunyamila, Edward Chumila, Godwin Aswile, Said Mwamba, John Nteze (Edifonce Amlima 77'), George Lucas, Marsha Hussein-Aman
Referee: Gwatidzo (Zimbabwe)
Coaches: Zambia: Samuel Ndlovu
Tanzania: Paul West
Cards: Tanzania: Said Mwamba [Y 70'], Edifonce Amlima [Y 77']
Adebayor anastahili hiyo adhabu..Aliniboa kweli kwenye ile match!!Poor him..Tuwafunge tu mechi dhidi yao, inshallah!
Hehehe washabiki wa timu nyingine bana, wakati Keane anafungiwa fungiwa mlikuwa mnasema haki inatendeka kafungiwa Adebayor mnaanza kulia. Man City na Adebayor mwenyewe walikuwa na muda wa kupinga hizo tuhuma lakini hawakufanya hivyo, mwache achezee kifungo next time ataacha kukanyaga watu.
te he he,....aaaahaaaa! eeee?- yanatoka moyoni hayo Jirani?
Kwani Ferguson ndio alimtuma akamkanyage Van Persie?
Jana nilisoma quote moja ya Wenger nilicheka sana, huyu mzee wa Arsenal alisema Ukiuliza watu 100, 99 watasema Adebayor amekosea ila wa 100(Mark Hughes) atasema hakukosea na hakuna tatizo lolote.
Hatututawaangusha...ha ha haaa... haya bana, kila la heri...watieni nuksi hao waarabu wa ManCity ingawa team hiyo ina record nzuri kweli juu yenu, hasa Shaun Wright-Phillips..
Subiri wiki hii ndio mnaanza ligi maana game zote za mwanzo mlipangwa na vibondeIn Craig Bellamy we Trust....
Subiri wiki hii ndio mnaanza ligi maana game zote za mwanzo mlipangwa na vibonde
In Jermaine Defoe we Trust...
Muda mfupi uliopita Babu (Sir Alex Ferguson) alikuwa anashangilia kabisa kutokuwepo kwa Ade hata kama hakumtuma kumkanyaga RVP.
Manchester City will be without their "best player" in Emmanuel Adebayor for Sunday's Manchester derby. "I am not bothered whether Tevez plays or not," said United boss Ferguson. "City's best player won't be playing. "Adebayor is their star player, there is no question about that."
Kazi kwelix2