Sababu wanajua angeliwaliza Man Utd!
Sure na sijui kama Man atachemka.
Vp sheria za Bongo naona Chuji kalimwa 6months dah chuki hizi!
Kamati ya nidhamu Simba wamejaa unafikiri haki itakuwapo hapo?
Soka bongo wanalididimiza hao TFF.
TFF are in dark ages!
Sure na sijui kama Man atachemka.
Vp sheria za Bongo naona Chuji kalimwa 6months dah chuki hizi!
Kamati ya nidhamu Simba wamejaa unafikiri haki itakuwapo hapo?
Soka bongo wanalididimiza hao TFF.
hio ya chuji mie nilishangaa.sasa sijui hapo ni kumuadhibu mchezaji au kummaliza mchezaji kipaji chake.Sure na sijui kama Man atachemka.
Vp sheria za Bongo naona Chuji kalimwa 6months dah chuki hizi!
Kamati ya nidhamu Simba wamejaa unafikiri haki itakuwapo hapo?
Soka bongo wanalididimiza hao TFF.
Adhabu ya Adebayor ni sawa kabisa, he stamped on Van Pussie... Ye s we saw it!!! Ila inatia uchungu kwasababu he was the best man to inaugurate the Man City big brother status against Manure!!!
hio ya chuji mie nilishangaa.sasa sijui hapo ni kumuadhibu mchezaji au kummaliza mchezaji kipaji chake.
hivi wanashindwa kulalamika caf? manake hizi sheria zingine sio za kimichezo kabisa.Lengo lao kummaliza mchezaji visa tu vya kijinga jinga kumzonga refa eti unafungiwa miezi 3 dah jamani alafu watu wanashindwa hata kuhoji...wao mbona wana misuse pesa pale TFF wanaendelea kunenepeana mitumbo lakini tumewaacha tu.
Lakini haki imetendeka katika adhabu hizo?
Lakini naona mdomo wa Fergie umechangia mkuu ameona Adebayor sasa moto wa kuotea mbali si yule aliyekuwa Arsenal.
Lengo lao kummaliza mchezaji visa tu vya kijinga jinga kumzonga refa eti unafungiwa miezi 3 dah jamani alafu watu wanashindwa hata kuhoji...wao mbona wana misuse pesa pale TFF wanaendelea kunenepeana mitumbo lakini tumewaacha tu.
Wananenepa kama mwakalebela?
Adebayor anastahili hiyo adhabu..Aliniboa kweli kwenye ile match!!Poor him..Tuwafunge tu mechi dhidi yao, inshallah!