Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,879
- 1,093,861
Mshambuliaji wa Manchester City Gabriel Jesus, 20, anaamini kwamba ana kazi ya ziada kupata fursa ya kushirikishwa katika kikosi cha Brazil cha kombe la dunia licha ya kulifungia taifa lake bao la lala salama katika mechi ya kirafiki dhidi ya Japan. (Goal)