GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wanabodi "The Lucifer effect "ni dhana inyoelezea jinsi watu wema kabisa na wanyenyekevu, washika dini na viongozi wanapogeuka na kuwa na matendo ya kishetani.
Utafiti umefanywa kwa muda mrefu Sana kwenye jamii tofauti kuanzia kwenye kambi za magereza za kikatili nchini Iraq "kambi ya Abu Gharaib "mpaka kwenye Chuo cha Stanford University ( Hapa walikusanywa wanafunzi na kutengwa kimakundi, kundi la wafungwa yaani Prisoners na viongozi yaani Guards,
Utafiti pia ulifanywa nchini Rwanda pia kwa wafungwa wa mauaji Ya kimbari na waliulizwa "Inakuwaje waliweza kuwaua majirani zao na marafiki na watoto wao walioishi nao pamoja miaka mingi? Hawa wanyarwanda walikula, kucheza na kufuga pamoja lakini waligeukana nini sababu "The Lucifer effect "
Wana Jf nitajadili kwa ufupi sana sana hii dhana halisi ya "The Lucifer effect "yaani watu wema mfano mkeo, mtoto wako ghafla wanageuka Mashetani na kutaka kukuangamiza Baba wakati muda wote mmeishi, kula na kucheka pamoja, Nini sababu? au Nini kinawafanya wanajeshi wa nchi jirani wanaoishi Kama ndugu ghafla kwa akili zao wanaamua kuanza kupigana na kuuwana nini sababu?
Mosi, The power of authority au Nguvu Ya kimamlaka, Hawa viongozi tunaowachagua na kuwapa Nguvu kikatiba ni hatari Sana kwa kauli zao, Wengi huchochea mambo kwa maslahi binafsi au kwa kutaka sifa, Wao hujificha nyuma na kuamuru watu wa chini wema na wapole kutekekeza amri zao, Mamlaka hizi huwezi kuziona moja kwa moja bali watekelezaji ndio hubebeshwa mzigo
Nchini Rwanda baadhi Ya wafungwa wa mauaji Ya Mwaka 1994 walihojiwa Kama wanajutia makosa walijibu hapana, Wanasema wao ujasiri waliutoa toka kwenye kauli za viongozi wao waliowaaminisha kuwa jamii Fulani haitakiwi kuwepo kwenye ardhi Ya Rwanda, Hivyo walijikusanya uwanjani kila siku wakiwa na mapanga na silaha wakigawana majukumu ya kuanza kusaka binadamu au majirani zao Kama msako wa Panya nyumba kwa nyumba na kuwateketeza
Pili, Jamii inyojiona imetengwa au kuonewa, Hii ni jamii ambayo bila kuigeuza na kuiheshimu ni hatari zaidi sana sana, Ni jamii inyojiona imedharaulika sana na watawala, Ni jamii tulivu na nyenyekevu inayonyimwa fursa za maendeleo na kujieleza,
Wakati vita ikipamba moto nchini Iraq na Afaghanstan Marekani ilipeleka wanajeshi wake wadogo kabisa kiumri mstari wa mbele vitani akina dada wenye umri wa miaka 20+ .Hili kundi la wanajeshi wa kike lilijihisi kutengwa na kudharauliwa sana, kilichofuata waliamua kugeuza wafungwa wa kivita Sehemu ya kumaliza hasira zao kwa kutoa mateso ya kisaikolojia, Wafungwa waliamriwa kuvua nguo zote na kubaki uchi Kisha wenzao kuwapigisha punyeto na wao wakicheka pembeni, Makamanda wa kike waliwaamrisha wafungwa wa kiume kuwalamba papuchi wakiwa wafungwa wanapiga push-up huku Makamanda wamewawekea papuchi zao kwa mbele usoni, Vitendo hivi walivirekodi na kuzua taharuki Marekani, Jamii ilihoji inawezekana vipi watoto wadogo kufanya ukatili huu?
Tatu, Kila binadamu ni mtu katili kulingana na mazingira hivyo hatupaswi kuwacheka wenzetu wanaofanya matendo ya kikatili, Kwani siku tukiwekwa kwenye mazingira tofauti, Tofauti na tunayoishi au kuyazoea binadamu humpasa kubadilika, Hivyo basi fikiria siku ukiishi mazingira tofauti kabisa na unayoyazoea hapa namaanisha unaishi mazingira ambayo kukuta miili Ya watu waliouwawa barabarani ni kawaida, Watu kupigwa risasi mbele Ya uma ni kawaida sana, Au wanafamilia kuchinjwa na kupotezwa ni kawaida, Hali hizi za kimazingira zisipodhibitiwa binadamu hugeuka shetani
Tano, Hisia za kutokufahamika au kujificha nyuma ya wengine hupelekea watu wema kuwa Mashetani, Watu hufanya mambo wakidhani hawafahamiki au hakuna anayewafuatilia na kuwagundua, Utafiti unaonyesha maeneo ambayo watu wanahisi watajulikana watu wema huendelea kuwa wema zaidi ukilinganisha na maeneo ambayo watu wanahisi hakuna anayekuona, Mfano ukiliacha gari lako Manzese Dar es Salaam nje bila kufunga milango unaweza usikute kitu ndani ya gari, Lakini ukiliacha maeneo yenye camera mfano baadhi ya maeneo Ya Posts Dar es salaam watu wataliacha wakihisi kuonekana
The Lucifer effect ni practical approach iliyothibitishwa, Lengo la kuleta uzi huu ni kukumbushana kuwa tunapaswa kusamehe changamoto lakini Sio kuzisahau, Kutosahau mazingira na changamoto zake kunaifanya jamii kutorudia makosa
Mwisho, unaweza jifunza zaidi "How good people may turn evils "Haya yanayotokea hayatakupa shida bali yatakujenga kusonga mbele
Utafiti umefanywa kwa muda mrefu Sana kwenye jamii tofauti kuanzia kwenye kambi za magereza za kikatili nchini Iraq "kambi ya Abu Gharaib "mpaka kwenye Chuo cha Stanford University ( Hapa walikusanywa wanafunzi na kutengwa kimakundi, kundi la wafungwa yaani Prisoners na viongozi yaani Guards,
Utafiti pia ulifanywa nchini Rwanda pia kwa wafungwa wa mauaji Ya kimbari na waliulizwa "Inakuwaje waliweza kuwaua majirani zao na marafiki na watoto wao walioishi nao pamoja miaka mingi? Hawa wanyarwanda walikula, kucheza na kufuga pamoja lakini waligeukana nini sababu "The Lucifer effect "
Wana Jf nitajadili kwa ufupi sana sana hii dhana halisi ya "The Lucifer effect "yaani watu wema mfano mkeo, mtoto wako ghafla wanageuka Mashetani na kutaka kukuangamiza Baba wakati muda wote mmeishi, kula na kucheka pamoja, Nini sababu? au Nini kinawafanya wanajeshi wa nchi jirani wanaoishi Kama ndugu ghafla kwa akili zao wanaamua kuanza kupigana na kuuwana nini sababu?
Mosi, The power of authority au Nguvu Ya kimamlaka, Hawa viongozi tunaowachagua na kuwapa Nguvu kikatiba ni hatari Sana kwa kauli zao, Wengi huchochea mambo kwa maslahi binafsi au kwa kutaka sifa, Wao hujificha nyuma na kuamuru watu wa chini wema na wapole kutekekeza amri zao, Mamlaka hizi huwezi kuziona moja kwa moja bali watekelezaji ndio hubebeshwa mzigo
Nchini Rwanda baadhi Ya wafungwa wa mauaji Ya Mwaka 1994 walihojiwa Kama wanajutia makosa walijibu hapana, Wanasema wao ujasiri waliutoa toka kwenye kauli za viongozi wao waliowaaminisha kuwa jamii Fulani haitakiwi kuwepo kwenye ardhi Ya Rwanda, Hivyo walijikusanya uwanjani kila siku wakiwa na mapanga na silaha wakigawana majukumu ya kuanza kusaka binadamu au majirani zao Kama msako wa Panya nyumba kwa nyumba na kuwateketeza
Pili, Jamii inyojiona imetengwa au kuonewa, Hii ni jamii ambayo bila kuigeuza na kuiheshimu ni hatari zaidi sana sana, Ni jamii inyojiona imedharaulika sana na watawala, Ni jamii tulivu na nyenyekevu inayonyimwa fursa za maendeleo na kujieleza,
Wakati vita ikipamba moto nchini Iraq na Afaghanstan Marekani ilipeleka wanajeshi wake wadogo kabisa kiumri mstari wa mbele vitani akina dada wenye umri wa miaka 20+ .Hili kundi la wanajeshi wa kike lilijihisi kutengwa na kudharauliwa sana, kilichofuata waliamua kugeuza wafungwa wa kivita Sehemu ya kumaliza hasira zao kwa kutoa mateso ya kisaikolojia, Wafungwa waliamriwa kuvua nguo zote na kubaki uchi Kisha wenzao kuwapigisha punyeto na wao wakicheka pembeni, Makamanda wa kike waliwaamrisha wafungwa wa kiume kuwalamba papuchi wakiwa wafungwa wanapiga push-up huku Makamanda wamewawekea papuchi zao kwa mbele usoni, Vitendo hivi walivirekodi na kuzua taharuki Marekani, Jamii ilihoji inawezekana vipi watoto wadogo kufanya ukatili huu?
Tatu, Kila binadamu ni mtu katili kulingana na mazingira hivyo hatupaswi kuwacheka wenzetu wanaofanya matendo ya kikatili, Kwani siku tukiwekwa kwenye mazingira tofauti, Tofauti na tunayoishi au kuyazoea binadamu humpasa kubadilika, Hivyo basi fikiria siku ukiishi mazingira tofauti kabisa na unayoyazoea hapa namaanisha unaishi mazingira ambayo kukuta miili Ya watu waliouwawa barabarani ni kawaida, Watu kupigwa risasi mbele Ya uma ni kawaida sana, Au wanafamilia kuchinjwa na kupotezwa ni kawaida, Hali hizi za kimazingira zisipodhibitiwa binadamu hugeuka shetani
Tano, Hisia za kutokufahamika au kujificha nyuma ya wengine hupelekea watu wema kuwa Mashetani, Watu hufanya mambo wakidhani hawafahamiki au hakuna anayewafuatilia na kuwagundua, Utafiti unaonyesha maeneo ambayo watu wanahisi watajulikana watu wema huendelea kuwa wema zaidi ukilinganisha na maeneo ambayo watu wanahisi hakuna anayekuona, Mfano ukiliacha gari lako Manzese Dar es Salaam nje bila kufunga milango unaweza usikute kitu ndani ya gari, Lakini ukiliacha maeneo yenye camera mfano baadhi ya maeneo Ya Posts Dar es salaam watu wataliacha wakihisi kuonekana
The Lucifer effect ni practical approach iliyothibitishwa, Lengo la kuleta uzi huu ni kukumbushana kuwa tunapaswa kusamehe changamoto lakini Sio kuzisahau, Kutosahau mazingira na changamoto zake kunaifanya jamii kutorudia makosa
Mwisho, unaweza jifunza zaidi "How good people may turn evils "Haya yanayotokea hayatakupa shida bali yatakujenga kusonga mbele