The Looming Showdown in Dodoma

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,461
39,928
Jioni ya leo yawezekana the biggest showdown since the resignations of the former Premier Edward Lowassa is to take place in Dodoma. Very reliable sources vimeiambia KLHN kuwa baada ya Bunge kurudi baada ya mapumziko ya mchana (kuanzia saa kumi na moja) Bunge litatoa kauli yake kuhusu matokeo ya uchunguzi wa mambo ya kishirikina na uhalifu yaliyodaiwa kutokea Bungeni hapo karibu mwezi mmoja uliopita.

Naibu Spika anatarajiwa kutoa kauli ya kufunga mjadala huo na kukubali matokeo ya Polisi. Hata hivyo Bunge linaweza kuwageuka Polisi na kutaka kuanzisha uchunguzi wake yenyewe wakiwa na wasiwasi kuwa the evidence was tampered with. Kama Bunge halitafanya hivyo na kukubali maelezo ya Polisi na Mkemia Mkuu the looming showdown would be set. Against who?

The Agenda 21, the entity that was created soon after the government collapse following the Richmond Scandal earlier this year. Kwa wale wanaokumbuka the exclusive report ya KLHN juu ya formation ya hili kundi watakumbuka kuwa imeundwa na mtandao wa watu wenye maslahi mengi wakiongozwa na wale waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati Teule na ndani yake wakiwemo baadhi ya viongozi ambao walijikuta wakitupwa nje ya serikali katika uundwaji wa Baraza Jipya la Mawaziri.

Agenda 21 walitaka kutoa taarifa yao mapema leo lakini inaonekana wameamua kusubiri kusikia Bunge litasema nini ili wajue nini cha kufanya. Kinachoendelea wapendwa watazamani ni kama mchezo wa chess ambapo kuna kila dalili kuwa Spika Sitta yuko karibu sana kuwekwa Checkmate na Agenda 21 na hivyo kulazimisha kuondolewa kwake katika kiti hicho cha Uspika.

The new alignment of the political heavyweights kutoka CCM ndani ya Bunge ni dalili wazi ambayo inatuonesha wachambuzi wa mambo ya kisiasa kuwa when all is said and done, watu wataitwa kufanya uamuzi, uamuzi ambao siyo tu unaweza kusababisha tuingie kwenye uchaguzi mdogo au hata mkubwa bali ambao kwa hakika utaifungua demokrasia ya vyama vingi nchini kuliko wakati mwingine wowote ule.

Meanwhile.... we are waiting to see nani atavunja jungu! Wengine yetu macho na masikio..... kuna vinzi vingine viwili vimeongezwa Dodoma to give you the exclusive scoop of what is transpiring.... stay tuned!
 
Jioni ya leo yawezekana the biggest showdown since the resignations of the former Premier Edward Lowassa is to take place in Dodoma. Very reliable sources vimeiambia KLHN kuwa baada ya Bunge kurudi baada ya mapumziko ya mchana (kuanzia saa kumi na moja) Bunge litatoa kauli yake kuhusu matokeo ya uchunguzi wa mambo ya kishirikina na uhalifu yaliyodaiwa kutokea Bungeni hapo karibu mwezi mmoja uliopita.

Naibu Spika anatarajiwa kutoa kauli ya kufunga mjadala huo na kukubali matokeo ya Polisi. Hata hivyo Bunge linaweza kuwageuka Polisi na kutaka kuanzisha uchunguzi wake yenyewe wakiwa na wasiwasi kuwa the evidence was tampered with. Kama Bunge halitafanya hivyo na kukubali maelezo ya Polisi na Mkemia Mkuu the looming showdown would be set. Against who?

The Agenda 21, the entity that was created soon after the government collapse following the Richmond Scandal earlier this year. Kwa wale wanaokumbuka the exclusive report ya KLHN juu ya formation ya hili kundi watakumbuka kuwa imeundwa na mtandao wa watu wenye maslahi mengi wakiongozwa na wale waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati Teule na ndani yake wakiwemo baadhi ya viongozi ambao walijikuta wakitupwa nje ya serikali katika uundwaji wa Baraza Jipya la Mawaziri.

Agenda 21 walitaka kutoa taarifa yao mapema leo lakini inaonekana wameamua kusubiri kusikia Bunge litasema nini ili wajue nini cha kufanya. Kinachoendelea wapendwa watazamani ni kama mchezo wa chess ambapo kuna kila dalili kuwa Spika Sitta yuko karibu sana kuwekwa Checkmate na Agenda 21 na hivyo kulazimisha kuondolewa kwake katika kiti hicho cha Uspika.

The new alignment of the political heavyweights kutoka CCM ndani ya Bunge ni dalili wazi ambayo inatuonesha wachambuzi wa mambo ya kisiasa kuwa when all is said and done, watu wataitwa kufanya uamuzi, uamuzi ambao siyo tu unaweza kusababisha tuingie kwenye uchaguzi mdogo au hata mkubwa bali ambao kwa hakika utaifungua demokrasia ya vyama vingi nchini kuliko wakati mwingine wowote ule.

Meanwhile.... we are waiting to see nani atavunja jungu! Wengine yetu macho na masikio..... kuna vinzi vingine viwili vimeongezwa Dodoma to give you the exclusive scoop of what is transpiring.... stay tuned!

Mwanakijiji

Leo itakuwa starter tu, hawatafika mbali. Hao wanaotaka kumng'oa Sitta, Anna Makinda atawazima kwa jina la Mchawi wa Chenge!. Yatafunikwa. Chakula kitakuja pale Ngeleja atakapoeleza kuhusu Kiwira, Waziri Mkuu atakapofafanua kuhusu Meremeta na atakapowasilisha utekelezaji wa maazimio ya Kamati ya Bunge kuhusu Richmondoli. Desert itakuwa ni taarifa ya Timu ya Kikwete kuhusu EPA. Lakini yote katika yote bado hatutashiba. Mlo kamili mwaka 2010. Utapiamlo ulikuwa mkali ati

Asha
 
Oh! Mbona hilo limeshasemwa? Kwamba mzee mzima alijichanganya kuanza mbio za 2015 kabla ya wakati? Kuna watu walishaapa kuwa lazima ajikwae kwa kutegwa au kujitega kwa maana mbio alizianza vibaya!!!

Hata hivyo kwa ugumu wa kichwa ninavyo kifahamu, mh! iko kazi. Asipofuata mkondo wa maji, basi maji hayana budi kugeuzwa!!

yetu macho....
 
Ngoja tusubili jinsi tutakavyo zungushwa kama kiuno kwenye mdundiko.Yetu maskio.
 
yetu masikio, maana kwa Tanzania yote yawezekana isipokuwa moja, kujikwamua kutoka katika umaskini!
 
We are waiting to see what is going to happen soon this evening,chini ya dakika 50 kuanzia sasa.
 
Oh! Mbona hilo limeshasemwa? Kwamba mzee mzima alijichanganya kuanza mbio za 2015 kabla ya wakati? Kuna watu walishaapa kuwa lazima ajikwae kwa kutegwa au kujitega kwa maana mbio alizianza vibaya!!!

Hata hivyo kwa ugumu wa kichwa ninavyo kifahamu, mh! iko kazi. Asipofuata mkondo wa maji, basi maji hayana budi kugeuzwa!!

yetu macho....

Huyo mzee mzima unayemzungumzia ni nani? Umeniacha kwenye mataa!!!!!
 
Jioni ya leo yawezekana the biggest showdown since the resignations of the former Premier Edward Lowassa is to take place in Dodoma. Very reliable sources vimeiambia KLHN kuwa baada ya Bunge kurudi baada ya mapumziko ya mchana (kuanzia saa kumi na moja) Bunge litatoa kauli yake kuhusu matokeo ya uchunguzi wa mambo ya kishirikina na uhalifu yaliyodaiwa kutokea Bungeni hapo karibu mwezi mmoja uliopita.

Naibu Spika anatarajiwa kutoa kauli ya kufunga mjadala huo na kukubali matokeo ya Polisi. Hata hivyo Bunge linaweza kuwageuka Polisi na kutaka kuanzisha uchunguzi wake yenyewe wakiwa na wasiwasi kuwa the evidence was tampered with. Kama Bunge halitafanya hivyo na kukubali maelezo ya Polisi na Mkemia Mkuu the looming showdown would be set. Against who?

The Agenda 21, the entity that was created soon after the government collapse following the Richmond Scandal earlier this year. Kwa wale wanaokumbuka the exclusive report ya KLHN juu ya formation ya hili kundi watakumbuka kuwa imeundwa na mtandao wa watu wenye maslahi mengi wakiongozwa na wale waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati Teule na ndani yake wakiwemo baadhi ya viongozi ambao walijikuta wakitupwa nje ya serikali katika uundwaji wa Baraza Jipya la Mawaziri.

Agenda 21 walitaka kutoa taarifa yao mapema leo lakini inaonekana wameamua kusubiri kusikia Bunge litasema nini ili wajue nini cha kufanya. Kinachoendelea wapendwa watazamani ni kama mchezo wa chess ambapo kuna kila dalili kuwa Spika Sitta yuko karibu sana kuwekwa Checkmate na Agenda 21 na hivyo kulazimisha kuondolewa kwake katika kiti hicho cha Uspika.

The new alignment of the political heavyweights kutoka CCM ndani ya Bunge ni dalili wazi ambayo inatuonesha wachambuzi wa mambo ya kisiasa kuwa when all is said and done, watu wataitwa kufanya uamuzi, uamuzi ambao siyo tu unaweza kusababisha tuingie kwenye uchaguzi mdogo au hata mkubwa bali ambao kwa hakika utaifungua demokrasia ya vyama vingi nchini kuliko wakati mwingine wowote ule.

Meanwhile.... we are waiting to see nani atavunja jungu! Wengine yetu macho na masikio..... kuna vinzi vingine viwili vimeongezwa Dodoma to give you the exclusive scoop of what is transpiring.... stay tuned!

Dodoso limetulia shukrani kamanda yetu macho 2010 tunahitaji kuwa marefarii wenye umakini
 
MKJJ sasa unakumbuka maneno yangu kuwa tusikubali tu maneno ya polisi.
Na nilikwambia kuwa tukikubali maneno ya polisi,Chenge,Mkemia mkuu Na kuyakataa yale ya baadhi ya Wabunge na spika...Basi hata mjadala huko bungeni ni wazi mafisadi wangeshinda!
Lakini Thanks to the Almighty kwamba sasa mambo yaenda yakiwa mambo na dalili za UHURU WETU ZI WAZI!
 
Mwaka huu ipo kazi...tena kazi kubwa ikizingatiwa miaka mitatu inakatika tukiwa tunasubiri "maisha bora kwa kila Mtanzania" kwa kasi, ari na nguvu mpya
 
Ni afadhali Bunge lifanye uchunguzi wake wenyewe. Huo mkanda wa video kuwa blank wakati ulionekana na watu kabla haujapelekwa polisi ni jambo la kushangaza. Inawezekana ulifutwa ukiwa mikononi mwa polisi kwa njia hizo hizo za kishirikina, tutajuaje.
 
Mwanakijiji

Leo itakuwa starter tu, hawatafika mbali. Hao wanaotaka kumng'oa Sitta, Anna Makinda atawazima kwa jina la Mchawi wa Chenge!. Yatafunikwa. Chakula kitakuja pale Ngeleja atakapoeleza kuhusu Kiwira, Waziri Mkuu atakapofafanua kuhusu Meremeta na atakapowasilisha utekelezaji wa maazimio ya Kamati ya Bunge kuhusu Richmondoli. Desert itakuwa ni taarifa ya Timu ya Kikwete kuhusu EPA. Lakini yote katika yote bado hatutashiba. Mlo kamili mwaka 2010. Utapiamlo ulikuwa mkali ati

Asha

Asha,

Mlo huu utafika mpaka 2010 kweli!!! Kama utaletwa kama unavyotarajiwa nadhani tutashiba kabla ya 2010!

Nimeamini ufisadi una nguvu jamani! Yaani sasa wanapigana waziwazi kabisa!
 
Yetu macho. Nahofia watu kuitwa kwenye vikao vya dharura na kuonywa kutetea "maslahi" ya chama.
 
Wabunge sasa wanatakiwa waulize...Nini MOTIVE...AMA MADHUMUNI YA UNGA BUNGENI.

Tunajuwa Unga unatakiwa uwe kabatini huko nyumbani kwa yule aliyeuleta Bungeni.

Hivyo NI LAZIMA AULIZWE MADHUMUNI ya kuuleta unga ule bungeni...UNGA UNGA ambao baadaye ulikabidhiwa polisi na polisi nao kuukabidhi kwa mkemia mkuu ambaye naye kwa kushirikiana na polisi wamesema hauna kitu!

Sasa tunataka kujuwa ni kwanini unga huo ulitoka nyumbani kwa CHENGE hadi BUNGENI...AMBAPO ULIPITISHWA KWENYE SITI ZA WABUNGE NA SPIKA MWENYEWE...Halafu waka UCOLLECT na kuwapa polisi....

THE UNGA UNGA TRAIL!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom