The Law School of Tanzania: Maoni, Ushauri, Dukuduku

Ninachokijua ni kuwa unless mtu ana supplementary, ingawaje matokeo huwa yanachelewa kiasi lakini sidhani kama kuna mtu anayefaulu first sitting anaapishwa baada ya miaka miwili, au labda aamue mwenyewe hivyo.
 
Embu tujuzane ni ipi fate ya mwanafunzi aliyefeli law school?! Anaweza kurudia? !f so kwa utaratibu gani?
 
Embu tujuzane ni ipi fate ya mwanafunzi aliyefeli law school?! Anaweza kurudia? !f so kwa utaratibu gani?

Nafahamu kuwa mwanafunzi aliyefeli anaruhusiwa kurudia masomo kwa kuapply upya kuomba nafasi ya masomo
 
Wateja mahakamani wanalalamikia sana mawakili waliosoma vyuo vya MIAKA MITATU ,tofauti na St .Augustine(RUCO)-Iringa & Udsm ambapo wanasoma MIAKA 4 na wapo vizuri upstairs!

Kwa mwenemdo huu hata ajira imekuwa hawapewi hawa wanafunzi wanaosoms miaka 3.

Ndalichako tuokoe na hivi vyuo vya miaka mitatu!
Take action madame,please rescue us,we humbly pray so!
Sheria hata usome miaka 100 haikufanyi uwe vizuri upstairs na uweze mumsaidia mteja wako..
Ni wewe mwenywe tu ..uwakili ni.kipaji bana
 
Hii shule ilifunguliwa kabla haijapevuka. hadi sasa bado haijapevuka. Kabla ya hii shule mtu akitaka kuwa wakili ilimlazimu aende internship. Mawakili wa internship ni wazuri zana. Mawakili waliopitia law school ni wabovu (sio wote tafadhali). kuna wengine wanatia aibu mahakamani hadi utawaonea huruma, hawajui chochote
unadhani wewe ni wakili mzuri?
 
Aah sawa sawa skip that..
Nikuulize

What make(s) a good lawyer?
A good lawyer is the one who is able to minimize the loss/penalty and at the same time maximize the award. A good lawyer shapes his client's case at the same time helps the court to interpret statutes. He makes or leaves footsteps for other practitioners in every litigation he is involved.
 
A good lawyer is the one who is able to minimize the loss/penalty and at the same time maximize the award. A good lawyer shapes his client's case at the same time helps the court to interpret statutes. He makes or leaves footsteps for other practitioners in every litigation he is involved.
Umeelewa swali kweli mkuu?

I ddn't ask "WHO is a good lawyer?"


I simply asked "WHAT make(s) a person a GOOD lawyer??"
 
Back
Top Bottom