Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
What a beautiful man!
??????!!!!!!!! Miafrika ndivyo tulivyo.Watoto wa mungu wa israel hao! Ukimbariki wabarikiwa ukimlaani hubaki salama!
Nalisubiria jibu hapa kona ya kijengeKwa hiyo huyo ni mwanaume au umekurupuka?
Wamekosea huyu ni She.
Izrael ndo nchi gani mkuu! Na hizo Tafiti umezitoa wapi? Na hao wanaotoa sadaka kwa Izrael akina nan? Naomba ufafanuzi kidogo.Izrael, kwenye kila wanaume 10, basi 6-7 ni mashoga na transgernders.
Alafu unakuta muafrika anafunga siku 40 anamuombea huyo shoga. Anatoa sadaka ya kuiombea Izrael.
Dunia ina mambo.
Acha kukurupuka
Kifupi Israel kuna mashoga wengi huo ukweli umeze kama ulikuwa hujui!..Izrael ndo nchi gani mkuu! Na hizo Tafiti umezitoa wapi? Na hao wanaotoa sadaka kwa Izrael akina nan? Naomba ufafanuzi kidogo.
Yaani tabu kweli kweli??????!!!!!!!! Miafrika ndivyo tulivyo.
Kama hujui kiingereza kaa kimyaKwa hiyo huyo ni mwanaume au umekurupuka?
Hata wewe hujui KiingerezaAcha kukurupuka
Hivi kisichoeleweka katika uzi wangu ni lugha ya kiingereza au picha?Mbona ukisoma link ya Wikipedia aliyo attach ndugu hapo juu...Sijaona utata wowote ya jinsia yake......mleta uzi hebu toa ufafanuzi kidogo juu ya title yako???.....