Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,380
- 9,749
Jamani mwenye kulifahamu hili kundi la Muziki wa Kuiga lililokuwa na Maskani yake mjini Mbeya lilikuwa likiimbo nyimba za english hasa R&B Kwa lugha ya kiswahili huku wakiweka ujanja ujanja hadi nyimbo inapendeza...
nahitaji sana kama kuna mtu ana tape yake maana nilibahatika kuwa nayo lakini ilikuja potea katika mazingira ya kutatanisha... nilijaribu kuitafuta bila mafanikio...
Baadhi ya Nyimbo walizoziimba kwa lugha ya kiswahili ni
Sacrifice- Elton John
Nothing gona change my love - George Benson
na nyingi nyingi zaidi
nahitaji sana kama kuna mtu ana tape yake maana nilibahatika kuwa nayo lakini ilikuja potea katika mazingira ya kutatanisha... nilijaribu kuitafuta bila mafanikio...
Baadhi ya Nyimbo walizoziimba kwa lugha ya kiswahili ni
Sacrifice- Elton John
Nothing gona change my love - George Benson
na nyingi nyingi zaidi