The Kenyan boy who grew up to be a woman.

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
Home-audrey290513.jpg


[h=1]Andrew Mbugua in court struggle to alter name in certificates[/h]

Alizaliwa na kuitwa: Andrew mbughua.

Sasa ajulikana ya kuwa: Audrey Mbughua Ithibu.

Sokomoko lilianza miaka saba baada ya kumaliza High School na kubainika ana mapungufu yaitwayo "Gender Identity Disorder".

Kufuatia uchunguzi huo wa kitaalamu basi Andrew akafanya operesheni na kujigeuza jinsia yake na kuwa mwanamke. Kivumbi kilianza alipoanza kubadilisha vyeti vya shule ili awe Audrey badala ya Andrew na baraza la Mitihani la Kenya KNEC limemgomea na hivyo kukimbilia mahakamani apatiwe fidia anayostahili.

Life is complicated!
 
Mhnn, haya bana... ila angalau hivyo kuliko kama angeamua kuwa 'soga' ya watu kupiga mtaani
 
Sasa huyu si ni mgonjwa? Na ugonjwa wake hauna tiba?
Wamwache awe mwanamke tu, we live once.
 
Ushauri:
Abaki tu kuitwa Andrea hata kama jinsia imebadilika. There is nothing wrong with the names! Hata, hivyo wengi hatukuchagua majina tuliyonayo, tulipewa tu tena hata bila ya kushirikishwa na mambo yanakwenda. Life is simple if you make it so.
 
Kweli maendeleo yanakuja na vitu vyake kwakweli ukiangalia Wakenya kimaendeleo wapo juu kidogo ukifananisha na nchi zingine za East Africa, na huko ndo tunasikia mashoga wameandamana wanataka haki ya kutambuliwa kama wenzao wa Ulaya. Kama vipi mimi maendeleo siyataki
 
[h=1]Andrew Mbugua in court struggle to alter name in certificates[/h]Updated Wednesday, May 29th 2013 at 10:15 GMT +3

By PAMELA CHEPKEMEI
Nairobi, Kenya: A landmark case before the High Court could have far reaching implications on how persons of transgender are treated.





0
inShare​




It involves a woman, born 29 years ago as Andrew Mbugua Ithibu, but who chose to change her gender. Unable to win Government recognition of her new status as a woman, Audrey Mbugua Ithibu has now taken the battle to court.
She accuses the national examinations body of preventing her from being employed by refusing to change her academic certificates to reflect her current gender status.
Audrey's case seeking orders to compel the Kenya National Examination Council (Knec) to change her names in the examination certificate is unprecedented in Kenyan courts.
Audrey says she was born male and diagnosed with Gender Identity Disorder seven years after completing High School and scoring a grade of A-minus.
Born in January 1984, she studied at Kiambu High School where she sat her secondary school national examination under the name Andrew Mbugua Ithibu. After completing High School in 2001, Andrew decided she wanted to be a female and chose the name Audrey.
"I was born male 29 years ago and I started my medical transition to be of the female sex a couple of years ago to replace Andrew, "she says in an article.
Deed poll
She changed her first name legally from Andrew to Audrey last year through a deed poll and gazette notice. She was treated at Mathare mental hospital and subsequently issued with a psychiatrist medical report stating that she had been diagnosed with Gender Identity Disorders/Transsexualism in 2008.
Currently, a project officer at a transgender lobby, Audrey says she has attempted to undergo surgery to become a woman but the medical authorities have complicated matters for her.
Her efforts to seek help from the Commission on Administrative Justice (CAJ), requesting the Government agency to intervene for her to access her gender reassignment surgery did not bear fruit. The Commission told her the matter does not fall under its mandate. Audrey adds that she has faced many difficulties in the process of trying to change her national identity card, and passport.
 
huu ni ugonjwa tena ambao amezaliwa nao.
nafikiri baraza la mitihani wamamdhalilisha sana
walitakiwa wawe wamefikiri juu ya hali kama hii kabla

Dunia ina magonjwa na mambo mengi mabaya. Nikifikiria matatizo kama haya, huwa nakosa la kusema na huishia kumuomba Mungu kwa ajili ya familia na ndugu wote ili atunusuru na magumu ya dunia.
 
Dunia ina magonjwa na mambo mengi mabaya. Nikifikiria matatizo kama haya, huwa nakosa la kusema na huishia kumuomba Mungu kwa ajili ya familia na ndugu wote ili atunusuru na magumu ya dunia.

HP ni kweli kwamba dunia ina magonjwa mengi sana tena ambayo huwez hata kudhan ndivyo yalivyo. Binafsi nimewah kuona watu wenye magonjwa ambayo huwez hata kudhani kwamba ni binadamu ama ni nin lakin wanaish sasa je tuwanyanyapae kwasababu ya hali kama hii??

binafsi huwa sipendi kabisa mtu kumnyanyapaa mgonjwa awe hata kama ni wa kuharisha kwani ingawa anaambukiza lkn asaidiwe kwa upendo na kwa matumaini. hili baraza la mitihani wamekosea sana na hata mtoa mada kakosea kusema DUME lugha ambayo imekaa kikejeli zaid.
 
Nalikumbuka sakata la Caster Semenya wa Afrika ya Kusini aliyekumbwa na kadhia kama hiyo!
 
HP ni kweli kwamba dunia ina magonjwa mengi sana tena ambayo huwez hata kudhan ndivyo yalivyo. Binafsi nimewah kuona watu wenye magonjwa ambayo huwez hata kudhani kwamba ni binadamu ama ni nin lakin wanaish sasa je tuwanyanyapae kwasababu ya hali kama hii??

binafsi huwa sipendi kabisa mtu kumnyanyapaa mgonjwa awe hata kama ni wa kuharisha kwani ingawa anaambukiza lkn asaidiwe kwa upendo na kwa matumaini. hili baraza la mitihani wamekosea sana na hata mtoa mada kakosea kusema DUME lugha ambayo imekaa kikejeli zaid.
Huo ugonjwa analiozaliwa nao ndio upi(unaitwaje)_mmmmh?
 
Kumuita dume ni makosa
huyu ana tatizo
ni ugonjwa wa kisaikolojia..
ni tatizo kazaliwa nalo.sio vizuri kumkejeli

No offence bro,
Ila ni ushetani tu huu..
God made everyone a masterpiece!
Kwanini 1930s hizi disorders hazikuwa nyingi hivi?
 

Sexuality, gender and all other categories by which we categorize and dismiss each other need to be excavated from the inside. By the way Life is 10% of what happens to you and 90% of how you react to it.


 
Home-audrey290513.jpg


Andrew Mbugua in court struggle to alter name in certificates



Alizaliwa na kuitwa: Andrew mbughua.

Sasa ajulikana ya kuwa: Audrey Mbughua Ithibu.

Sokomoko lilianza miaka saba baada ya kumaliza High School na kubainika ana mapungufu yaitwayo "Gender Identity Disorder".

Kufuatia uchunguzi huo wa kitaalamu basi Andrew akafanya operesheni na kujigeuza jinsia yake na kuwa mwanamke. Kivumbi kilianza alipoanza kubadilisha vyeti vya shule ili awe Audrey badala ya Andrew na baraza la Mitihani la Kenya KNEC limemgomea na hivyo kukimbilia mahakamani apatiwe fidia anayostahili.

Life is complicated!


Sexuality, gender and all other categories by which we categorize and dismiss each other need to be excavated from the inside. By the way Life is 10% of what happens to you and 90% of how you react to it...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom