Wakati huo, na bado hawakuisha. Wako kila kona ya dunia sahi.kiboko yao alikua Hitler, aliwachinja hao kama kuku mdondo
Kusalitiana Kwa waarabu ni mbinu/akili iliyotumiwa na wenye akili zaidi(wazungu) ili kuendelea kuitawala dunia....hata Leo hii ukatae au ukubali bado waisrael wataendelea kuwa juu ya waarabu
Hata hao aliowaacha aliwaacha maksudi ili mjue udhalimu waohalaf akaishia wapi? waliisha?
Kwani huyo israel amefanikiwa kuwamaliza wapalestina?Wakati huo, na bado hawakuisha. Wako kila kona ya dunia sahi.
Na huyo mpalestina amefanikiwa kuwapoteza wa Israeli?Kwani huyo israel amefanikiwa kuwamaliza wapalestina?
How???Hitler was 100% right!
Hivi hoja hii imeletwa hapa kwa lengo gani? Kwani Tanzania haina formidable air defense system? Kuna haja gani ya kusambaza air defense batteries nchi nzima.Taifa teule ni Tanzania, unataka hivyo hivyo hutaki hivyo hivyo!
Hili neno "angepewa " ni neno la hovyo Sana , uimara wa mtu hupimwa Kwa vile anavyovuka vikwazo na kujipatia fursa , wachina wamedhihirisha Hilo , anayekuwekea vikwazo na ukashindwa kuvivuka means ana nguvu na akili kuzidi wewe , na Kwa nini akuwekee vikwazo Kwa ajili ya Israel means kuna kitu anabenefit kutoka Kwa Waisrael ,Kwa nini Waisrael na sio wewe , means Waisrael ndo wanakitu kinachowafanya wamsaidie ambacho wewe huna .....Wazungu wasingeifunga mikono Iran kwa vikwazo vya kiuchumi na utengenezaji wa silaha kubwa kibwa. Basi leo mashariki ya kati pasingetosha. Tatizo mmoja kapewa vifaa vya mazoezi, msaada wa pesa kila mwaka kwa ajili ya kujilinda na adui au maadui, kocha wa kumfundisha, muda wa kufanya mazoezi, lishe bora nk. Huku mungine kafungwa mikono na miguu, kanyimwa vyote hata vile vidogo tu vya kumsaidia kuishi anakatazwa kuwa navyo napo anajaribu kutumia maarifa yake ili aishi. Kwahiyo kwa style hii lazima itaonekana huna nguvu za kupambana na mwenzako. Wazungu wanafaham fika kama Iran itapewa miaka 10 tu ya kufanya mambo yao bila vikwazo au kuingiliwa na nchi yoyote basi kitakachotokea kitakuwa ni hatari kwa Israel, na washirika wao wote wa mashariki ya kati. Ebu fikiria miaka zaidi ya 50 ya vikwazo lkn wameweza kufanya waliyoyafanya Iraq ktk kambi kubwa za kijeshi za Marekani.
TumainEli.mbona siku hizi upo kimya Sana kuhusu siasa zetu nchini? Tunakuomba uludi Tena jukwaani.Hili neno nitakubariki Mungu amelitimiza hata nyakati za sasa kwa taifa la Israel. Jambo lakitisha. Zaid hata nobel prize ndio taifa linaongoza kwa kuwa nazo nyingi. Huyo waziri mkuu wao una ana ambiwa is among world genius.
Nobel prize wanaongoza Israel? Hivi huwa mnapotosha kwa faida ya nani? Hivi kumbe Jews wote ni waisrael??Hili neno nitakubariki Mungu amelitimiza hata nyakati za sasa kwa taifa la Israel. Jambo lakitisha. Zaid hata nobel prize ndio taifa linaongoza kwa kuwa nazo nyingi. Huyo waziri mkuu wao una ana ambiwa is among world genius.
Mbona Hitler aliwateketeza sasa huko Poland..... Walikua na Jeshi lao ila walitandikwa haswaaa. Jews were shit before 1948 kama sio uingereza kuwapa hifadhi mpaka leo hii wangekua wananyooshwa tu.Hili neno "angepewa " ni neno la hovyo Sana , uimara wa mtu hupimwa Kwa vile anavyovuka vikwazo na kujipatia fursa , wachina wamedhihirisha Hilo , anayekuwekea vikwazo na ukashindwa kuvivuka means ana nguvu na akili kuzidi wewe , na Kwa nini akuwekee vikwazo Kwa ajili ya Israel means kuna kitu anabenefit kutoka Kwa Waisrael ,Kwa nini Waisrael na sio wewe , means Waisrael ndo wanakitu kinachowafanya wamsaidie ambacho wewe huna .....
Us akikata mirija, ndio nguvu Yao itaongezeka mara dufu, Hilo lipo kimaandiko mkuu, soma hiiUS akikata mirija ndio mwisho wa Israel. Ama siku china/russia ikaanza uhusiano na palestina wa kijeshi ndio mwisho wa Israel.
Vipi china wana rasilimali gani? Mbona wamefika hapo walipofika?Hakuna zawadi kubwa kutoka Kwa MUNGU kama akili/maarifa kwasabb hawa Israel hawana rasilimali zozote nchini kwao zaidi ya akili tu
Kwahiyo Korea kusini inavyopaa kutoka nchi maskini 1940s hadi kuwa Emerging Economy nayo ni taifa teule?Us akikata mirija, ndio nguvu Yao itaongezeka mara dufu, Hilo lipo kimaandiko mkuu
Na hata Mimi mkuu zitto junior, sikatai kuhusu hiki, Ila wale jamaa wananguvu nyingine isiyoonekana, ingawa nguvu hiyo pia iko kila mahali, Lakini Mungu mwenyewe alishaga apa hivyo kuwalinda na kuwapiga maadui zaoKwahiyo Korea kusini inavyopaa kutoka nchi maskini 1940s hadi kuwa Emerging Economy nayo ni taifa teule?
Mie sipingi muwaite taifa teule lakini kuna nchi zimefanikiwa sana kiuchumi na kiteknolojia na kijeshi kuliko Israel ingawa hayajiiti taifa teule sasa uspecial wa Israel ukwapi?
China wamekuja na mass distribution ya 5G na sasa wameanza na 6G ila sioni mkiwasifia..... But Israel ingefanya oooh taifa teule!! Hizo kukuza mambo ndio huwa napinga