Nipo mkuuAhsante.
Uoo kiongozi.?
Kitambo sana
Nimesoma na kwa kurudia tena ni bandiko fupi ila lina somo zito kwa kweli. Kibayya imeandikimwa in parties moja tayar ila ya mkuu nimeipambania ila sijafanikiwa. MSAADA hapa juu ya part 2.Loverness soma hapa, nimeona nikikuandikia I might miss a point
How to Break Soul Ties You Didn't Know You Had
Thanks mate..Nashukuru jitahidi uulize ambapo hujaelewa...Mkuu nashukuru kwa uzi na elimu nzuri ambayo kuipata ni nadra sana na jinsi ulivoielezea,barikiwa kwa ilo mkuu.
Pia nipende kusema kua nimebaki na maswali mengi sana kiasi cha kushindwa kung'amua wapi nakwama katika maisha haya ya kila siku mkuu mfano kujua life purpose yako pamoja na inner voice, may be nahitaji somo kidogo .
Pia nimepitia mojawapo ya andiko la mkuu lifecoded kaandika vitu pia nahisi katuacha na maswali wasomaje hivyo kama hatojali aleze kidogo kiupesi kidogo tupate kumwelewa au aweze tengeneza thread na kupata chakula cha ubongo
All in all be blessed Champ, I have a long way to go Champ👍👏🙏
Mkuu binafsi naomba kujua ni kwa namna gani unaweza kutambua destiny yako pamoja na iyo inner voice na kwa wakati gani unaweza gh'amua kile kinaitwa inner voice maana bado niko njia kuu. Nadhani umenielewa mkuu any way unaweza nisaidia njia zozote zinazoweza saidia kukwepa depression 🙏Thanks mate..Nashukuru jitahidi uulize ambapo hujaelewa...
Nimekubaliiii... Short & ClearMimi ni nani?
Mimi ni sehemu ya Mungu,roho yake ni sehemu ya roho yangu na imetokea kwake pia Mungu anafurahia hilo jambo.
Lengo langu ni nini kuwa hapa duniani?
Lengo ni kutawala,baada ya kutawala hii dunia ndipo nitajua na kuelewa kazi ya Mungu aliyoifanya katika uumbaji hii itanipelekea kumuelewa Mungu pamoja na kumpa sifa zake.
I think ni hatari sana kumsifu Mungu kama hujamuelewa.
Shida yako iko hapa nilipoBold. Je unaweza share hapa yanayokusibu kwa faida ya wengine.?Mkuu binafsi naomba kujua ni kwa namna gani unaweza kutambua destiny yako pamoja na iyo inner voice na kwa wakati gani unaweza gh'amua kile kinaitwa inner voice maana bado niko njia kuu. Nadhani umenielewa mkuu any way unaweza nisaidia njia zozote zinazoweza saidia kukwepa depression 🙏
any way naweza kukushirikisha PM alafu ukapata good way ya kushirikisha wakuu huenda nikapata msaadaShida yako iko hapa nilipoBold. Je unaweza share hapa yanayokusibu kwa faida ya wengine.?
AiseeeToka nipost huu uzi leo ndio nimeusoma..
Mmhh!!! Siku moja moja kumbe akili zipo
sawa mkuu ngoja nikutumie PMHit it.. nishirikishe