Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,766
Mkuu sijui uelewa wako ulifikia wapi .mohammad hakutabiri hvy yeye alisema kua katika zama karibu na kiama basi masii issa mwana wa mariam atarudi kupambana na masii dajjal huko Mashariki ya kati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie uelewa wangu upo sawa tu labda wewe ndio unataka kunihamisha kwenye mada. Hebu kasome hiyo aya aliyoiweka mtoa post. Binafsi niliwahi kuwa muislam lakini baadae nikagundua Quran ni maandishi ya mtu aliyetaka kuupotosha ukweli na hivyo akaja kwa style ya kuuchanganya umma wa Nabii Isa (Yesu kristo) hivyo wengine wakaondoka wakaiacha kweli wakakimbilia huko kwa mtume muhammad. Ninavho amini mtume muhammad anamuabudu kristo na ataendelea kumuabudu masihi akirudi.
Ole kwao walioketa kitabu hicho kinachopotosha ukweli wa Biblia. Kristo atusaidie tuijue kweli yake kupitia kitabu chake alichokiacha kuoitia watumishi wake.
Happy dude