The Hidden Power of the Universal Laws

kutoelewa namna ya kuishi kwenye hizo laws...ukiviolet law moja inakurudisha nyuma...

Kwa mfano..ukiwa na kiasi kidogo cha pesa halafu unajua kabsaa una maisha magumu kisha ukaenda kuitoa sadaka ile pesa ujue itakukost sana na universe itakupanish kwa kukupa maisha magumu zaidi ya uliyokuwa nayo kwa sababu umeviolet law of gratitude...hujaonesha moyo wa kushukuru ulichokuwa nacho ila umeamua kukipoteza wakati maisha yako yanahitaji pesa nyingine..

Tunadanganywa na usemi kuwa toa ulichonacho mungu atakurudishia...ni uongo huo ni usemi wa watu wanaotaka uondeleee kuwa omba omba..

Utakapopoteza hiyo buku kwa kutoa sadaka tayari utakuwa unaanza kuwaza umaskini na hiyo hali itasababisha universe kurespond kwa kukuletea maisha ya namna hiyo..

Ndo mana maskini hawatoboi...kujifanya wanazo halafu wanacreate mazingira tena ya kukosa..
..unapokuwa huna pesa tayari mind yako inapaniki unaanza kuwaza umaskini tena kichwani mwako hali hiyo inakuwa chronic ambapo law of attraction inakuza jambo lile kwa sababu unakuwa umeconcetrate na neno umeskini kichwani mwako hrnce mind inavibrate towarda hilo jambo hence thr universe inakuja kurespond kwa kukuletea mazingira yale yale unayo yawaza muda mrefu....
 
Mbona huu ni mwaka wa 7 nawaza utajiri wa Tsh millions 100+ na sijafikia hata millions 20+?

Nakuuliza sababu umesema yale tunayoyawaza sana lazima yatokee.
Usiniambie bado sijawaza vizuri sababu nawaza hadi nikilala naota kuwa mawazo yangu yametimia
Mkuu kuna ile The Law of Action nadhani umeisahau, mawazo yako lazima yaendane na action zako ili kufanikisha jambo
 
Law of attraction.

Sent using Jamii Forums mobile app
3) The Law of Action [Sheria ya Hatua]

Sheria ya Hatua lazima itumike ili tuweze kuonyesha mambo duniani [manifest things on earth].

Sheria hii hufanya kazi pale mtu anapowza jambo fulani litokee maishani mwake kama ameliandalia mazingira,,ulimwengu hutenda vema kwa mtu alijiandalia mazingira,ukitamani kwenda jera jaribu kuwaza jambo mbaya na kisha litende jambo hilo hakika utahukumiwa na utajikuta umefika sehemu uliyokuwa unaitaka.

Ukitaka mafanikio katika biashara ni dhahiri lazima ujihusishe katika biashara kwanza na ulimwengu utakuletea matunda kwa kukuunganisha na watu unaowafikilia kichwani mwako,kila kitu kipo withini the universe,nothing comes outside the universe.

Kwa hiyo, tunapaswa kushiriki katika vitendo vinavyounga mkono maneno yetu, hisia, maono, mawazo, ndoto na hisia. Vitendo hivi vitatuleta udhihirisho wa matokeo mbalimbali ambayo yanategemea maneno yetu maalumu, mawazo, ndoto, na hisia.
 
Ameiambatanisha mbona ipo nafasi ya 3 kwenye mtiririko wake.
Ngoja nirudi

Ok, Bwana G.Jacob nimeelewa ila mimi naona hii haina tofauti na kula kwa jasho

Yaani mawazo/kuwaza tu bila kuyaweka mawazo katika vitendo ni sawa na kusubiria treni angani

Hivyo basi, hii haipaswi kurembwa sana kana kwamba kuna maajabu hapo, bali inatakiwa iitwe ni "nguvu iliyopo nyuma ya juhudi za kivitendo"
 
61 Reactions
Reply
Back
Top Bottom