Bora urudiAiseeee!!!!
Naona nakaribia!!
Sio hata uvumilivu kihivo.,Kama yeye hataki nimuache na yuko radhi kunisamehe na kuvumilia uzinifu wangu hiyo ni juu yake na si juu yangu.
Soma maoni ya wadada kwenye hii mada utaona wengi wako radhi na tayari kusamehe na kuvumilia uzinifu wa wenza wao. Kuna mtu huko nyuma kasema ni ndivyo walivyo; akimaanisha wameumbwa na huruma na hulka ya kusamehe na kuvumilia kupita kiasi.
HahahahahhahahahahWewe I'd yako ya zamani ipi??