The guide: Ukishaamua kuwa na 'nyumba ndogo'

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,842
Kama ambavyo tunaelimishwa kila siku madhara ya kuvuta sigara, na bado mpaka madaktari wanavuta, na tunaelimishwa kila siku kuhusu pombe, lakini watu wanajikuta wamefika bar, bila hata ya kujijua, hata kama asubuhi waliapa pombe basi.

Basi na hili la nyumba ndogo, kuna watu ni 'almost impossible' kuwaambia wasiwe na nyumba ndogo.

Sasa iliyobaki kama watu wazima sio vibaya kufundishana 'how to do it the right way.

zifuatazo ni kanuni ukizifuata hutapata matatizo makubwa na pengine uka enjoy life kupita maelezo.

1. Nyumba ndogo lazima iwe na heshima kwa mkeo na wewe mwenyewe, akileta dharau au kujifanya ana mrusha roho wife, unapiga chini fasta, hii ndio kanuni ya kwanza na muhimu na ndio muongozo wa mpango mzima. Kama hutaki mkeo ajue, basi iwe hivyo, na sio vinginevyo, marufuku mashindano kati ya wife na nyumba ndogo, bora zaidi wasijuane wala kukutana kwenye shughuli zao.

2. Nyumba ndogo isisababishe kwa njia yeyote ile kupungua kwa huduma nyumbani au kwa wife, ikiwezekana huduma ziongezeke home, ili 'wasihisi' chochote...hii ni ngumu kwa baadhi ya watu ukishindwa kipato basi jitahidi, chakula cha usiku but ukiweza vyote bora zaidi.

3. Usimponde au kuzungumza siri za mkeo kwa nyumba ndogo au kumuonesha yeye ni bora zaidi hata kama 'amekukoleza kupita maelezo' hii itazuia kumpa hisia kuwa unataka kumuacha mkeo na yeye achukue nafasi, hata kama ni hivyo, usioneshe hivyo, iwe siri yako mpaka utakapoamua hivyo.

4. Usimtambulishe waziwazi au kuongozana nae kwenye sherehe za kiofisi au za familia, hasa kwa watu wanaomfahamu vizuri mkeo unless wewe na mkeo mpo kwenye process ya talaka officially...akijitia kimbelembele kujitambulisha muonye au mpige chini fasta.

5. Usianze 'kuinvest' mali kwa nyumba ndogo wakati hata future ya watoto bado ya kubabaisha, ukiona nyumba ndogo
ni gold digger unapiga chini fasta.

6. Nyumba ndogo usiipe majukumu ya mke kwa njia yeyote hile, kazi ya nyumba ndogo ni kuku burudisha na kustarehe na wewe, majukumu kwa mkeo, ukifanya kosa hili, si ajabu ukajikuta na nyumba ndogo ya pili nyingine.

7. Nyumba ndogo lazima iwe kifaa cha uhakika, ikiwezekana imzidi wife ili mkeo akigundua awe mpole, ukichukua mwanamke mbovu, wife atakudharau na asiwe 'kicheche maarufu, utaumbuka.

8. Kwa wanaopenda kuhonga, ukihonga gari nyumba ndogo, hakikisha wife analo tayari ikibidi yawepo zaidi ya moja home, sio wife anahangaika na daladala, nyumba ndogo umeinunulia vitz, utadharaulika kupita kiasi na wote wawili na jamii ikigundua.

9. Usitafute sifa kwa ndugu wa nyumba ndogo, tafuta sifa kwa ndugu wa mkeo ili hata zogo likitokea watakutetea.

10. Nyumba ndo sio wife, usilete wivu kupita kiasi, ukiona uaminifu hakuna, piga chini kimya kimya sio kuanzisha ugomvi mpaka siri zinavuja.

Wengine mtaongezea.
 
Mkuu nakupa big five,umepigilia nondo sawasawa,binadamu haishi kwa mkate tu bana!
Additional note: Mwambie kimada mwisho wa kukupigia simu sa mbili usiku.Once upo na bi mkubwa no mawasiliano,si ya simu,si ya sms,asubiri mpaka muonane kesho yake.Akileta za kuleta mbwage.
 
wifi,we cant fight them,lets nt only join them bt lead them. kama small house zinaleta amani nyumbani, ngoja na sie tudumishe amani. who wants stress? (kuna jirani yangu hapa namuona potential flani, nitakukutanisha nae. the boss kasema muhimu sweetie wako asijue..)
OMG!! Boss usiniambie ushakuwa recruited kwenye Chama..... Please say NO!... Dah!... lol
 
wifi,we cant fight them,lets nt only join them bt lead them. kama small house zinaleta amani nyumbani, ngoja na sie tudumishe amani. who wants stress? (kuna jirani yangu hapa namuona potential flani, nitakukutanisha nae. the boss kasema muhimu sweetie wako asijue..)

we King'asti wee,ndoa zina rules zake,there are rules for men and rules for women,acha kuvuka mipaka usije ukaishia kuweka mikono kichwani.
 
B' naona Boss atakua ameelewa.... Sijui kwanza kakimbilia wapi!!! lol

kawahi kupeleka mapochopocho small haus,si unajua leo public holiday,bila shaka nyumbani kaaga anaenda shamba chanika kumbe yuko kwa bi mdogo.Mwache astarehe bana.
 
wifi,we cant fight them,lets nt only join them bt lead them. kama small house zinaleta amani nyumbani, ngoja na sie tudumishe amani. who wants stress? (kuna jirani yangu hapa namuona potential flani, nitakukutanisha nae. the boss kasema muhimu sweetie wako asijue..)


Hilo nalo neno Wifi King... i like the leading them part... maana tukiwa join moja kwa moja jamii haitachelewa kutugeuzia kibao kua hatufai!.... Sasa King wote wawili hatukak stress lets do the needful; Swali- huyo jirani pontential it is OK.... Sasa mbona sina mzuka wa kuenda huko maana yote napata.... Niende sababu naiga na kukomoa AMA niende sababu kuna mapungufu?? (For there is no mapungufu kwa Sweetie..) naomba ushauri tafadhali....
 
Back
Top Bottom