Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Thanks for what shemu?...
The obvious SL....think....this is a very useful post...(hujambo lakini...mchakato unaendelea wa ODM)
Thanks for what shemu?...
namba 1, 5, na 8 ngumu kuzitekeleza
Umeonae???Haki sawa aisee! Hakuna mipaka wala mistari hapa![/QU Wanajiona wao binadamu zaidi ,ubinafsi umewazidi.
Uzuri wa hii sredi, sijaianzisha mimi
Thanks the Boss (hivi kale kakitufe ka thanks kale...daaaamn)
Tukiongea sisi wanawake ndio mwaona twajidanganya eeeh??? Nyie subirieni tu. Me like.... (na King atatuletea ujuzi woote wa chama.. Si uliona kapewa card ya uanachama...lol)
he is 'the man', i mean 'THE BOSS MAN',lol!
wifi una maakili sana aisee, unajua the boss hajaongelea terms za promotion. hivi shelf life ya small house ni miaka mingapi? sheria za nchi zinasemaje ukizingatia the boss ameongelea 'rule of no investment' wakati kununulia mtu ki-baby walker karuhusu as long as mke anaendesha fortuner?
:smash::smash::hatari::ballchain::embarassed2:
he is 'the man', i mean 'THE BOSS MAN',lol!
wifi una maakili sana aisee, unajua the boss hajaongelea terms za promotion. hivi shelf life ya small house ni miaka mingapi? sheria za nchi zinasemaje ukizingatia the boss ameongelea 'rule of no investment' wakati kununulia mtu ki-baby walker karuhusu as long as mke anaendesha fortuner?
Darling... Hiivi katiba kweli iko amended ile?? Mbona kama vile wanachama wanaongezeka badala (au ndo tuseme mabadiliko ni mazuri??)
Ngoja nimtafute ODM alipo popote pale..
Mkuu,hebu ongeza nguvu,mapambano dhidi ya kina Asha,SL,King'asti et al kwenye hii thread yanaanza kunielemea mpaka nafikiria kuingia mitini.
KIng'asti dear...niliulizaga hapa,.....do u remember?
https://www.jamiiforums.com/mahusia...naume-tu-tunapoamua-kujenga-nyumba-ndogo.html
tatizo lenu mkiharibikiwa huwa mnakimbiana!
Mkuu,hebu ongeza nguvu,mapambano dhidi ya kina Asha,SL,King'asti et al kwenye hii thread yanaanza kunielemea mpaka nafikiria kuingia mitini.
Mi bukheri mpendwa! Kuhusu suala la ODM sina wasiwasi coz najua file lishafika mezani kwako utalishughulikia ipasavyo...uhakikishe haki inatendeka tafadhali....The obvious SL....think....this is a very useful post...(hujambo lakini...mchakato unaendelea wa ODM)
kaka shkamooo! usisahau ule upendo wetu wa kifamilia washinda yote. afu hujanipa ile katiba ya infii hadi leo the boss ndo kanipatia. ntakuja jioni tujadili amendments,naona haiko ki-gender zaidi.
Babe, Muda unavoenda ndo watu wanazidi 'kufunguka' na kujua tulimaanisha nini kwa ile katiba yetu. (hivi by the time tunaoana love ilikuwa imeshatoka eeh...maana sivyo tungeamend kipengele cha tatu, ambacho hata ivo kipo under review..."kizuri kula na nduguyo" kuna exceptions LOL)
(Afu King'asti amenikata stimu eti anaita magari ya watu babywalker jamani...)
Umeipendea nini na wewe?wanaume nyie kila siku kufundishana mambo ya nyumba ndogo. lol. ila the boss nimependa hiyo.
ngoja nimalize hii millitary training ya the boss. na unajua ukielimisha mwanamke umeelimisha jamii nzima! i learned it from the best, i learn it from YOU...(BAK, plz tuwekee na huu tumuenzi baba wa taifa hili changa lililodumaa kwa kukosa maziwa ya mama!!)
nimekumbuka kaka,sasa shida ni kuwa mnamumunya maneno,kha! ingekua multiple choice machale yangesaidia. kwani ww kaka za kwako huwa una-maintain for how longe? itakua siri yetu,wifi sitamuambia