Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,452
- 2,219
Nchi inauzwa vpande vpande...ngorongoro mwarabu, gesi ya mtwara mchina, juz waspain wamepewa bahari wavue,...loliondo, sadani
Maendeleo yanayotokana na kodi na mirabaha ya uchimbaji madini yanaendeleza nchi nzima sio geita na Shinyanga tuMali inayochukuliwa na maendeleo unayoyasema ni mbingu na ardhi, havina uhusiano kabisa.
Umemaliza mjadala.Umeelezea vizuri sana.labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..
Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.
Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..
Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..
Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....
Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Kwani wakitaka kusafirisha hao tembo sasa hivi hao Wamasai ndio watazuia?Lazima itakuwa njia kuu ya kusafirishia tembo wetu, tukisema hawa jamaa walimwondoa JPM mnakataa!
Vipi mzee Umoja Party imefikia wapi?Alienda Dubai akasema kaleta vijisenti kumbe kauza ngorongoro.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hata aeleza vizuri kiasi gani, hawa watu hawaelewi. Labda Magufuli afufuke awaeleze ndio wataaminiUmemaliza mjadala.Umeelezea vizuri sana.
uwe na adabu kdg.....Ni wapumbavu sana hawa watu
Hilo gazeti la The Guardian leo limekuwa la maana, lilipokuwa likiandika ukichaa wa Magufuli lilikuwa likiitwa kupeperushi cha mabeberu wanaotuonea wivy
Ww ni kLazima tuishi Kwa mipango na faida Katika Karne hii,maswala ya zama za ujima yamepitwa na wakati lazima tubadilike kulingana na nyakati.
Pili ardhi ni Mali ya serikali hivyo Muda wowote inafanyia mabadiliko ya matumizi.
Kesho mkisikia daslamu inageuzwa bonde la mpunga msifadhaike sana ndugu zanguni wa Kinondoni!
Point is..., watu wanahama ili kifanyike nini ?labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..
Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.
Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..
Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..
Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....
Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Kwani hukumuona kwenye kale kavideo la jidege kubwa liloshuka kule maporiniKuuuuuumbeeee!
Haya kajiunge Umoja Party uwatoe basiNaona sababu ya kuondolewa Lukuvi wizara ya ardhi na kuletwa Prince, pia nakumbuka kuondolewa kwa Kalemani na kuletwa mtoto wa mlamba asali ,yote hayo ni kwa ajili ya the gang walambe asali tena kwa dili za kifisadi kwenye vitalu vya gesi,Tanesco na kwa mwarabu, hivi mnadhani kwenye ishu ya huko kwa Wamasai walamba asali hawamo? hawa walamba asali ni genge hatari sana kwa kuhujumu uchumi na kujitajirisha hawatosheki, mara dili za bandari ya bagamoyo, mara wake zao wanataka nao viinua mgongo, yaani ni Timu chako changu.
Hivi ule moto unazani unatokea tu hvhv??? Watu wanata kuwekezaNi serikali ya hovyo sana haijali wananchi wake wa chini. Masoko kuchomwa moto, machinga kufukuzwa bila kuwapa maeneo mbadala, Wamasai kuchukuliwa eneo lao.
Hilo la Waarabu mnalithibitisha vipi kama sio uzushi wa watu?Point is..., watu wanahama ili kifanyike nini ?
Kuhama wahame ili hifadhi ibaki kwa kila atakaye aende kuangalia ila sio wahame ili watu waende kujifunza kulenga shabaha na kutupia vijirupia ambavyo vinaliwa na mbuzi wenye kamba ndefu
Unachokaririshwa wewe ni ecology tu... km serikali ina nia njema kwann ifiche kinachoendelea? Mkataba wa uwindaji umesaini kwa terms zp? Na anagua lile lidege lao linalokuja kubeba wa nyama kwamba wanyama waliwindwa ndio wanaoruhusiwa kwenye kibali?kwa hiyo mkuu pale Serengeti, Selou, Mikumi nako watu wahamie maana waliowekeza kwa maana ya kuwinda na utalii ni majangiri..?.
Ujangiri kwa fikra zangu ni kuvai na kuua wanyama bila kibali na kuchukua nyara kama pembe, ngozi, meno nk.... lakini kinachofanyika kwa uelewa wangu ni uwekezaji na kulinda ecology ambavyo havina tofauti na uwekezaji mwingine kama kuchimba dhahabu nk...
Najibu hoja iliyopo mezani ambayo imejibiwa na hoja kwamba iwapo watu wanahama kwa maendeleo mengine kwanini wasihame kwa hili ?Hilo la Waarabu mnalithibitisha vipi kama sio uzushi wa watu?
Ungekuwa unajua ukubwa wa eneo linalotaka kuchukuliwa na idadi ya watu wanaotakiwa kuondolewa!, siyo sehemu kama ya kupitisha bomba la gesi. si sawa na njia ya kupitisha umeme au eneo la kujenga bwawa. Ni eneo linaloishi wanyama wengi wa aina mbali mbali pamoja na binadamu na mifugo yao, can you imagine the size!labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..
Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.
Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..
Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..
Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....
Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Not true, the president is a care taker not the ownerIn February this year, Tanzania’s tourism minister, Damas Ndumbaro, said the Maasai did not have a claim to their homeland as all land belonged to the president.