The Guardian Uingereza: Tanzania pardons two child rapists and calls for arrest of pregnant school girls

tapatalk_1495051556059.jpeg
 
Rais Obama alimsamehe Bradley manning ambaye alihukumiwa miaka 35 kwa kosa la uhaini..
Rais Magufuli amesamehe watuhumiwa waliokuwa wameshatumikia zaidi ya miaka 13 jela na kumjibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inamruhusu kwanini wapige kelele hayo magazeti
Chochote Mheshimiwa Rais Magufuli akifanya hata likiwa halina tatizo wachangiaji mihemko mingi.
 
Tatizo serikali haitakiwi kufanya habari za haki nje ya sheria.

Kama walifungwa kimakosa ilitakiwa serikali ikubali makosa na kuwafidia, si kuwatoa kwa msamaha wa rais.

Ukiwatoa kwa msamaha wa rais maana yake umekubali wana makosa, ndiyo maana unawasamehe.

Asiye na makosa, akafungwa visivyo, hasamehewi, anafunguliwa na kuombwa radhi na kufidiwa.
Well Said
 
Kama haya ni kweli, basi Magu ange agiza mchakato wa kusikiliza tena shauri la hawa "Wabakaji" na lingetolewa uamuzi kwa prosija za Ki Mahakama, HAKI ingeonekana imetendeka KULIKO KUSAMEHE...Ni maoni yangu..
Kweli kabisa, hivyo nadhani ingekaa vizuri zaidi
 
Who is the Guardian....au kua la UK ndio issue ?wakat wanatumiwa vmakala...una uhakka walirape?au unazan huo mhimili ni clean sana?
 
Hivi Rais wetu huwa anashauriwa sawa sawa kabla hajafanya maamuzi anayofanya? Au hana haja na ushauri wa mtu yeyote???Au washauri wake ni wapumbavu(kwa maneno yake mwenyewe)

SO kuna mkanganyiko mkubwa sana katika hatua zinazochukuliwa na serikali ya John Magufuli dhidi ya wasichana wa shule wanaopata mimba shuleni, lakini wakati huo huo anatoa msamaha kwa watu waliohukumiwa kifungo kwa kubaka na kulawiti wasichana wadogo...

Yan wazungu wana akili sana, wameona kitu ambacho sidhani kama kuna Mswahili au hata kiongozi wetu alikiona...wacha tu mzungu awe mweupe...na wacha tu aitawale dunia..

Soma habari zaidi hapa chini:
Tanzania pardons two child rapists and calls for arrest of pregnant schoolgirls
Amefuata ushauri wa Lowassa
 
Hawa mashoga Wa ulaya wanaojifanya wanaharakati wakomee huko huko ulaya! Wasitupangie! Watuache na rais wetu!
Wageukiane wenyewe Kwa wenyewe huko huko! Hivi kumfanya mwanamume mwenzako kuwa mke ndo kumtimizia haki zake za binadamu au?
Wazungu hawana nguvu ya kimaadili ya kutuambia chochote! Wao yamewashinda!
 
Back
Top Bottom