Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Kama hujajuaa hilii nakumegeaaa tripuu hii ujinga atutakii tunaweka viongozi wa ukweli bila kujali usimba na uyangaaaaaaaaa
Namkaribisha kwa mara nyingine tena na tena kwangu namwita JEMEDARI
AMA Mpambanaj asiechoka anaejiamini si mwingine ni makamu raisi mtarajiwa hon MICHAEL WAMBURA
Naamini uwezo wa wambura sina shaka nae hata kidogo kwa yaliomkuta akiwa na figisufigisu za Simba nolijua karudi kijijini Kamanda akuchoka kaenda kukamata uongozi mkoani na sasa kwa mara nyingine teeeena na teeena anagonbea uongozi wa Tff...
Wakati mwingine
MUNGU ANA MAKUSUDI KUKUPITISHA KWENYE MOTO IILI ITOKE DHAHABU ILIO NJEMA
Kwa upande wa Michael wambura naona lulu ya taifa kwenye michrzo na trip hiii wapiga kura msikoseee kijana anapita mpaka huko kwenu mmalize wenyewe
Vote for [HASHTAG]#MICHAEL[/HASHTAG] WAMBURA(sio kampeni tunaitaji viongozi bora na sio bora viongozi))
Namkaribisha kwa mara nyingine tena na tena kwangu namwita JEMEDARI
AMA Mpambanaj asiechoka anaejiamini si mwingine ni makamu raisi mtarajiwa hon MICHAEL WAMBURA
Naamini uwezo wa wambura sina shaka nae hata kidogo kwa yaliomkuta akiwa na figisufigisu za Simba nolijua karudi kijijini Kamanda akuchoka kaenda kukamata uongozi mkoani na sasa kwa mara nyingine teeeena na teeena anagonbea uongozi wa Tff...
Wakati mwingine
MUNGU ANA MAKUSUDI KUKUPITISHA KWENYE MOTO IILI ITOKE DHAHABU ILIO NJEMA
Kwa upande wa Michael wambura naona lulu ya taifa kwenye michrzo na trip hiii wapiga kura msikoseee kijana anapita mpaka huko kwenu mmalize wenyewe
Vote for [HASHTAG]#MICHAEL[/HASHTAG] WAMBURA(sio kampeni tunaitaji viongozi bora na sio bora viongozi))