The Golden Chance

Mkanya

JF-Expert Member
Feb 14, 2008
599
14
Wazalendo mimi binafsi naamini huu ni wakati

Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea alie chaguliwa tayari na viongozi sijui ni wakinanani na hata ukiwa Chuo utakuta chuo kizima kimejaa picha kutoka kwa kodi za wamaskini waishio Tanzania wanao lala njaa nimesikia fununu.

Sasa kituambacho hawakujua ni kuwa wanafunzi wote wa mlimani ni wapinzani wa CCM yaani hawaitaki ndio maana wote wanachuo wakona bora waongozwe na Mganda ODONG kuliko kuongozwa na mafisadi.
Chuo cha ccm viongozi wake wakaona wamfukuze huyo mganda ili ccm agombee mwenyewe,na wanafunzi hawakuwa tayari kwa hilo.

Sasa basi wanafunzi wakawa wanataka wanafunzi wenzao warudishwe ndio maana wakakamatwa kwakuwa hwafati itikadi za kifisadi,
sasa na wamefungwa wengine wemefukuzwa chuo.

SASA NINI CHAKUFANYA KWA HAWA WANAFUNZI WETU? NADHANI TUWAUNGE MKONO WOOTE KWA PAMOJA ILI WAPATIWE HAKI YAO YA KIKATIBA NA TULETE MABADILIKO,MIMI NIPO TAYARI KUANDAMANA PAMOJA NAO,NA VIONGOZI WA SIASA MUUNGE MKONO MUANZISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA KUPINGA UNYANYASAJI NA UFISADI.

WITO KWA WAN JF WOOOTE TUUNGE MKONO KWA CHOCHOTE KITAKACHO FANYIKA NA HAWA WANAFUNZI MAY BE YAKAWA MABADILIKO YALE AMBAYO WENGI TUMEKUWA TUKIPIGA KELELE HUMU NDANI,NIFURAHA YANGU KAMA TUKIITUMIA HII CHANCE VIZURI KULETA MABADILIKO YA KWELI TANZANIA.
 
Wazalendo mimi binafsi nadhani sasa wale waliokuwa wanataka mageuzi ya kweli mtaungana pamoja nami katika hili ambalo limeibuliwa wiki hii,mimi naamini ndio kitu tulichokuwa tunakisubilia toka siku nyingi kwa ajili ya Nchi yetu kupata uhuru kutoka kwa wafilisi.

Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea alie chaguliwa tayari na viongozi sijui ni wakinanani na hata ukiwa Chuo utakuta chuo kizima kimejaa picha kutoka kwa kodi za wamaskini waishio Tanzania wanao lala njaa nimesikia fununu.

Sasa kituambacho hawakujua ni kuwa wanafunzi wote wa mlimani ni wapinzani wa CCM yaani hawaitaki ndio maana wote wanachuo wakona bora waongozwe na Mganda ODONG kuliko kuongozwa na mafisadi.
Chuo cha ccm viongozi wake wakaona wamfukuze huyo mganda ili ccm agombee mwenyewe,na wanafunzi hawakuwa tayari kwa hilo.

Sasa basi wanafunzi wakawa wanataka wanafunzi wenzao warudishwe ndio maana wakakamatwa kwakuwa hwafati itikadi za kifisadi,
sasa na wamefungwa wengine wemefukuzwa chuo.

SASA NINI CHAKUFANYA KWA HAWA WANAFUNZI WETU? NADHANI TUWAUNGE MKONO WOOTE KWA PAMOJA ILI WAPATIWE HAKI YAO YA KIKATIBA NA TULETE MABADILIKO,MIMI NIPO TAYARI KUANDAMANA PAMOJA NAO,NA VIONGOZI WA SIASA MUUNGE MKONO MUANZISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA KUPINGA UNYANYASAJI NA UFISADI.

WITO KWA WAN JF WOOOTE TUUNGE MKONO KWA CHOCHOTE KITAKACHO FANYIKA NA HAWA WANAFUNZI MAY BE YAKAWA MABADILIKO YALE AMBAYO WENGI TUMEKUWA TUKIPIGA KELELE HUMU NDANI,NIFURAHA YANGU KAMA TUKIITUMIA HII CHANCE VIZURI KULETA MABADILIKO YA KWELI TANZANIA.

Ndugu Mkanya,

Unatoa witu tuwaunge mkono wanafunzi kwa kila kitu? are you serious? Naomba tupangie hapa kwa utaalamu wako kama mwanafunzi ni nini chimbuko la fujo zilizoko UDASA, wajibu na ushiriki wa Wanafunzi, shida au matatizo yaliyofikia Wanafunzi kugoma au kuanza kufanya fujo.

Panga hoja zao hatua kwa hatua, tupe mifano, vigezo na vitendea kazi ili tuchambue kwanza kabla ya kudandia meli eti kuunga mkono chochote.

What if katika "chochote" kuna ambayo ni lazima Wanafunzi wawajibike na sisi JF tukakubaliana na Uongozi wa Chuo, je utatuita sisi mafisadi kwa kukataa kuwaunga mkono?

Kaa chini, panga hoja zako, zilete kama ulivyoleta maombi yako na utupe sababu za msingi ni kwa vipi JF na wanachama wake iwasaidie katika tatizo lenu.
 
Back
Top Bottom