Bado naona nuru yenyewe imekuwa na mwanga mkali mpaka inataka kupofua machoNjoo nuruni
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Bado naona nuru yenyewe imekuwa na mwanga mkali mpaka inataka kupofua macho
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kwani bado tu uko kwenu wanauza viloba
Katika hii movie ukiitazama kwa umakini inakupa majibu sahihi Juu ya utaifa wako na hali ya uzalendo ulio nao katika moyo wako
Ila usichokifaham katika movie hii ni kwamba ilichezwa nchini Tanzania lakini wengi uamini kuwa ilichezwa Botwasana
Yawezekana wengi katika vijana wa .com hawaijui kitu hii mtanisamehe kwa kumbukizi hii..
bila hiyo teknolojia tungekula na kunywa hapa JF?Mfano wakati movie inaanza wanakuonyesha busy city as far as a remember nadhan ni Johanesbergy if not mistaken.
Narator anakwambia as man tries to make life easy by the use of science and technology, he finds himself making it difficult and more complicated.
Yani inshort ni kwamba mfano jinsi teknolojia inavyokua ndivyo maisha yanazidi kuwa magumu.
Hebu fikiri ni vitu vingapi ambavyo kwasasa vinaonekana ni muhimu ambavyo ni vigumu mtu wa mjini kuishi bila kuwa navyo ambavyo miaka ya 80 havikuwepo na watu waliishi tu.
Mfano Tv, simu za mkononi, ving'amuzi, mitandao n.k vyote hivyo ni gharama kununua na ni gharama kuviendesha pia vinakufanya uongeze ratiba yako.
Lakini kwa ma bushmen hawana mambo mengi, hawahitaji hata calender ya kuwambia leo ni monday wala sunday wala sasa hivi ni saa saba.
Anasema kwao any day can be sunday or monday kwakuwa maisha yao ni simple hawapambani against nature ila wana live according to nature.
Soma general concept au katazame movie uelewe narrator alichokuwa anaongea sio unapayuka payuka tubila hiyo teknolojia tungekula na kunywa hapa JF?
idiot!
Hahah....Huyo star naye ni mhenga aliyesema chupa itokayo juu irudi juu
Huyo star naye ni mhenga aliyesema chupa itokayo juu irudi juu
mm ninachojua ni kuwa huyo jamaa kafanana xana na ally kiba.
Only 600 miles to the south, there's a vast city. And here you find civilized man. Civilized man refused to adapt himself to his environment; instead, he adapted his environment to suit him. So he built cities, roads, vehicles, machinery, and he put up power lines to run his labour-saving devices. But somehow he didn't know where to stop. The more he improved his surroundings to make life easier, the more complicated he made it. So now his children are sentenced to 10-15 years of school, just to learn how to survive in this complex and hazardous habitat they were born into. And civilized man, who refused to adapt to his surroundings, now finds he has to adapt and re-adapt every hour of the day to his self-created environment. For instance, if it's Monday and 7:30 comes up, you have to dis-adapt from your domestic surroundings and re-adapt yourself to an entirely different environment. 8:00 means everybody has to look busy. 10:30 means you can stop looking busy for 15 minutes. And then you have to look busy again. And so your day is chopped into pieces, and in each segment of time you adapt to a new set circumstances. No wonder some people go off the rails a bit...Yule msimuliaji naona alikuwa ni sentimentalist kwenye maisha ya bush tu, ila sio maisha marahisi ukilinganisha na ya sasa, watu kukosa uhakika wa chakula, maji, kufa kwa magonjwa ndi maisha marahisi?
Teknolojia imekuja na complications zake ila imerahisisha maisha mno
Japo maisha ya zamani yana uzuri wake na ninakuwa na miss mno na kutamani nyakati zirudi nyuma, ila siwezi kusema eti ndi marahisi