Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,386
- 4,712
Freelancing nimeifuatilia ni kwa ajili ya kupata fedha ya kula tu. Huwezi kupata utajiri kupitia freelancing.Na sio rahisi kiasi hicho.
$500 kwa mwezi huwezi tengeneza?Freelancing nimeifuatilia ni kwa ajili ya kupata fedha ya kula tu. Huwezi kupata utajiri kupitia freelancing.Na sio rahisi kiasi hicho
$500 kwa mwezi huwezi tengeneza?
Sio rahisi mkuu. Labda iwe ni kazi yako fulltime. Ili uweze kuingiza kiasi hicho cha pesa labda ufanye kazi 8 hours a day. Na kazi zile zinazohitaji skills kubwa. Watu wanaongelea urahisi sana kuhusu hizi freelancing lakini sio rahisi kihivyo.$500 kwa mwezi huwezi tengeneza?
Mbona maelezo yako hayajitoshelezi. Kwa nini usiweke wazi kazi zipi wewe unafanya ili kutengeneza hiyo $1000. Navyojua kuna bonus kama utatuma link na kushawishi watu kujiunga na hizo freelancing jobs. Ki ufupi kazi zake ni ngumu.Haelewi sana huyo.
Binafsi baadhi ya miezi natengeneza hadi kufika $1,000.
Lazima uwe wa viwango vya juu ili uwe unapata gigs nyingi.
Kingine....kufanya kazi kama freelancer haimaanishi unategemea kazi katika hizi platform kama UpWork, Fiverr au Freelancer.com pekee.
Kuna mbinu nyingi zakufanya kazi kama freelancer.
Ukiwa na uelewa wa juu juu utataabika sana na kuona kila kitu kibaya.
Cheers
Mbona maelezo yako hayajitoshelezi. Kwa nini usiweke wazi kazi zipi wewe unafanya ili kutengeneza hiyo $1000. Navyojua kuna bonus kama utatuma link na kushawishi watu kujiunga na hizo freelancing jobs. Ki ufupi kazi zake ni ngumu. Na haina tofauti sana na networking market, yaani aliyeanza mapema na kushawishi wengine anakuwa na gawio zuri. Pia inafikia kipindi yule aliyeanza anakuwa kama mkaguzi wa kazi za wengine hii kidogo ina kipato.
Tuweke bayana mkuu. Sio kutueleza juu juu tu kama motivational speeker.
Mbona maelezo yako hayajitoshelezi. Kwa nini usiweke wazi kazi zipi wewe unafanya ili kutengeneza hiyo $1000. Navyojua kuna bonus kama utatuma link na kushawishi watu kujiunga na hizo freelancing jobs. Ki ufupi kazi zake ni ngumu. Na haina tofauti sana na networking market, yaani aliyeanza mapema na kushawishi wengine anakuwa na gawio zuri. Pia inafikia kipindi yule aliyeanza anakuwa kama mkaguzi wa kazi za wengine hii kidogo ina kipato.
Tuweke bayana mkuu. Sio kutueleza juu juu tu kama motivational speeker.
Uelewa wako kwenye haya mambo upo chini sana mkuu. I am sorry.
Hata huelewi jinsi referral program zinavyofanya kazi.
Ushauri wangu.
Usikate tamaa.
Unahitaji kujinoa zaidi.
Ili ufanikiwe sehemu yoyote ile lazima uwe mweledi.
Wabongo wengi ni waongo sina uhakika na ripoti zako mkuu
Wabongo wengi ni waongo sina uhakika na ripoti zako mkuu
Mtu akilipwa dola 20 kwa siku kwa mwezi ana dola 600,inawezekana mkuu watu wanapiga zaidi ya hiyoSio rahisi mkuu. Labda iwe ni kazi yako fulltime. Ili uweze kuingiza kiasi hicho cha pesa labda ufanye kazi 8 hours a day. Na kazi zile zinazohitaji skills kubwa. Watu wanaongelea urahisi sana kuhusu hizi freelancing lakini sio rahisi kihivyo.
Sio rahisi mkuu. Labda iwe ni kazi yako fulltime. Ili uweze kuingiza kiasi hicho cha pesa labda ufanye kazi 8 hours a day. Na kazi zile zinazohitaji skills kubwa. Watu wanaongelea urahisi sana kuhusu hizi freelancing lakini sio rahisi kihivyo.
Wabongo wengi ni waongo sina uhakika na ripoti zako mkuu
Kuwa makini hutakiwi utoe pesa yoyote.Mkuu mimi nimekuwa nikiitumia hii lakin kwa yule anaenza . Nilikuwa sifaham kama ukipewa project kuna pesa ambayo unaitoa then baadae wanasema wanairudisha.nkapatwa na wasiwasi kidogo imekaaje hii
Ni Platform gani hiyo uliambiwa hayo mambo ya unatoa pesa halafu baadae wanairudisha?! Au sijakuelewa?!Mkuu mimi nimekuwa nikiitumia hii lakin kwa yule anaenza . Nilikuwa sifaham kama ukipewa project kuna pesa ambayo unaitoa then baadae wanasema wanairudisha.nkapatwa na wasiwasi kidogo imekaaje hii
Hata freelancer gig nyingi unakuta kazi ndogo madola kibao.Ni Platform gani hiyo uliambiwa hayo mambo ya unatoa pesa halafu baadae wanairudisha?! Au sijakuelewa?!
Nilikuwa natafuta kujua una lengo gani,kumbe unatafuta kazi nyingine ya kufundisha watu jinsi ya kupata online jobs.Greetings JF massive!
Kama kawaida leo nimepata time nataka nikuonyeshe jinsi vile unavyoweza kufanya kazi kama Online Freelancer na kutengeneza kipato kizuri tu kwakutumia Skills ulizonazo + muda wako wa free.
Kama hufahamu kabisa freelance ni nini soma hapa Beginner Level : Je, Online Freelancing ni nini? Kazi zinatoka wapi? Ni Skills gani zinahitajika? Nitalipwaje pesa? Jifunze kila kitu hapa
Beginner Level : Je, Online Freelancing ni nini? Kazi zinatoka wapi? Ni Skills gani zinahitajika? Nitalipwaje pesa? Jifunze kila kitu hapa
Kwa wanaonifahamu wanajua nimeandika mambo mengi kuhusu Online Freelancing na vile nimekuwa nikionyesha kwa uwazi kabisa kazi ninazofanya na pia pesa ninazolipwa. Nasema hili kwasababu haitokuwa na maana kama nitajaribu kuwaelekeza wengine vitu nisivyovifanya. Mimi si guru. Mimi ni lifelong leaner na nimekuwa nikifanya vizuri Upwork kwa muda sasa.
Angalia hii screenshot.
View attachment 1592751
Ok,
Labda unaweza uliza kuwa Top Rated ni nini?
Maana yake UpWork wanatambua kazi nzuri ninazofanya. Na hiyo inamaanisha I will continue to land more offer and make more money.
Lakini si Upwork kama kampuni pekee inatambua kazi nzuri.
Hata clients wenyewe wanatoa maoni yao.
View attachment 1592752
Ok hiyo screenshot ya pili hapo juu ndiyo msingi wa hii sredi kwasababu kazi nimeipata hivi karibuni tu nikaona niwajulishe watu hapa inawezekana sana kutengeneza decent money tena kwa kazi moja tu.
Well, kwanza kabisa niseme ni rahisi sana kupata hizi pesa kama utakuwa unafanya kazi zako kwa quality ya juu na client kukukubali.
Hiyo kazi kwenye screenshot ni ya translation.
Nilifanya negotiations na client na ananilipa $20 kwa kila article moja nayofanyia translation. Kila mwezi nina articles 15.
Je, ninatumia saa ngapi kufanya kazi hizi?
Jibu ni saa 2 tu kila siku nimemaliza kila kitu.
Kwahiyo unaona natumia saa 2 * 15 (mara idadi ya articles) kutengeneza $300.
Kwa pesa ya Tz hiyo ni 700,000+
Pesa kama hizi natumia kulipia rent apartment ninayokaa hapa Arusha.
Kumbuka hii ni side hustle tu. Si kazi pekee nayotegemea.
Nipo na kazi nyingine nazotengeneza zaidi ya $300 kila mwezi.
Lengo ni kukuonyesha opportunity Online freelancing imetoa ili uweze kuongeza kipato.
Kwamfano Wewe ni mfanyakazi na jioni + weekends upo na muda mwingi wa free. Kwanini usiwe freelancer? Utengeneze pesa za ziada?
Kwasababu kila mtu anapenda kutengeneza pesa kwa muda wake wa free.
Kwasababu let say wewe ni muajiriwa baada ya makato ya mikopo unayobakiwa nayo ni Ts 900,000 sasa ukiwa na $400 unazozipata kwa kazi zako kama Freelancer hiyo ni kitu kizuri sana.
Kwahiyo kama ulikuwa hufahamu ni namna gani utajiongezea kipato basi Online Freelancing ni CHAGUO SAHIHI. Hands down. Ukijitaji nikupatie usaidizi wa aina yoyote ile just contact me.
Ngoja nikuonyeshe kazi nyingine nazoendelea nazo.
View attachment 1592753
Hiyo screenshot ya juu ni kazi ya sales.
Client alikuwa anatafuta sales representative from Tz atakayemsaidia kuuza e-commerce platform kwa wamiliki wa restaurants.
Sasa kila restaurant itakayokubali kutumia platform hii basi wewe utalipwa recurring income $18 kila mwezi.
Hiyo maana yake kama ukiweza kushawishi restaurants 50 basi hiyo ni $18 * 50 = $900
Na hizo pesa zitaingia kila mwezi bila wewe kuendelea kufanya kazi nyingine yoyote ile.
Hii ndiyo real passive income.
Na ndiyo maana nakomaa nayo.
View attachment 1592754
Hiyo screenshot ni kazi nimeshaifanya tayari.
Hii ilikuwa kazi ndogo $45.
Client alihitaji nimsaidie kufungua account ya AirBnB na kuweka kila kitu sawa.
Kwa wasiofahamu AirBnB ni nini nitaandikia uzi wake hapa JF.
Kazi nyingine nayoendelea kuifanya ni kufanya design za YouTube thumbnails.
View attachment 1592755
Hii kazi ilianza kama one time project lakini naona client ameamua kunipatia long term contract ya miezi 6+
Ninalipwa $10 kwa kila thumbnail moja ninayo-design.
Kazi nyingie ninazofanya ni kazi za Interpration na hii ni kazi nimekuwa nikifanya kwa miezi mingi. Hii kazi ya Interpretion inanipatia $150 kila wiki. $600 kila mwezi.
Ningependa niweke na screenshot yake but I need to go now.
Tuwasiliane makingmoneyonlinetz@gmail.com
Tukutane wakati mwingine.
Cheers