IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Kwa mtazamo wako ila kwa mtazamo wa wengi ni kwamba wakwanza ni Ado wa pili Magufuli kisha wanafuatia wa Saouth na senegalWinner ni Addo
Wengine wote mavi...your mungu mtu included!
Kwa mtazamo wako ila kwa mtazamo wa wengi ni kwamba wakwanza ni Ado wa pili Magufuli kisha wanafuatia wa Saouth na senegalWinner ni Addo
Wengine wote mavi...your mungu mtu included!
Kwahiyo alipigiwa na kina nani sasa maana alipata aslimia zaidi ya 45 huku wale wa senegal na sauth wakipata 0Kwa taarifa yako wabongo wengi ndo hawakumpigia kura,..so kama huheshimiki nyumbani, huna maana ...huko pengine hawajui ukweli....
Uzuri hakushinda ...mengine ni kujifariji tu
Kwahiyo Simba utailinganisha kwenye ubora na timu iliyoshika mkia?Ana tofauti gani na Simba S.C walioshika nafasi ya pili kwenye kombe la Muungano?
Kwa mtazamo wakoWa kwanza ni Addo...wengine wote kwenye kundi la mavi
Usisahau kua wa Ghana wanaotumia mitandao ni wengi sana kupita Watanzania, maana hata kielimu wao ndiyo walitangulia hadi baadhi ya vitabu vya literature tulikua tunasoma kutoka huko West Africa!!Kwa taarifa yako wabongo wengi ndo hawakumpigia kura,..so kama huheshimiki nyumbani, huna maana ...huko pengine hawajui ukweli....
Uzuri hakushinda ...mengine ni kujifariji tu
Mtoto mwenyewe awe ndio kama TAL majirani wote wamamjua kwa ujeuri ata akitoka nje kulalamika sidhani kama watamsikiliza.Anayejua uhalisia wa maisha ya Baba ndani ya familia ni wanafamilia wenyewe.Baba anaweza kua chui kwa familia yake na akawa kondoo kwa walio nje ya familia yake.Hivyo yowe za wanafamilia si za kuzipuuza wanakuwa na jambo.
Hapa Tundu Lissu wamemuibia kura zake. Yeye ni africa disrupter (mbomoaji wa Afrika) mkubwa kuliko wote duniani akifuatiwa na rafiki yake Zitto Kabwe. Itabidi wahamasishe maandamano yasiyo na kikomo kudai haki yao hiyo! Bila shaka IGP Sillo hatasita kuyaruhusu maandamano hayo ambayo BAVICHA na UVICCM watakuwa wamoja kushiriki maandamano hayo. Yatapokelewa na Mwamba wa ufipa.Africa Disruptor of the Year 2020
1. Kamal Yakub, Founder, Uber for Tractors, Ghana – Winner
2. Ken Njoroge, Co-founder & Group CEO, Cellulant Corporation, Kenya – Runner-up
kawaambie U. KLogically tu Ufanisi wa Kiongozi hasa katika Uongozi wake haupimwi kwa Kura za Mitandaoni tu bali kwa Uhalisia wa Maisha ya anayewaongoza.
Mshindi Ni Nana,hujui kusoma,au neno winner limekupoteza mseri wa watuUshindi ni ushindi tu bwashee!
Mnaomuabudu kichaa katika ubora wenuPovu!!
Nafikiri hujaelewa maana ya hii category na hujasumbua akili yako kuwa Google hao walioshindanishwa kwenye hii category ujue wamefanya vitu gani kwenye Jamii yaoHapa Tundu Lissu wamemuibia kura zake. Yeye ni africa disrupter (mbomoaji wa Afrika) mkubwa kuliko wote duniani akifuatiwa na rafiki yake Zitto Kabwe. Itabidi wahamasishe maandamano yasiyo na kikomo kudai haki yao hiyo! Bila shaka IGP Sillo hatasita kuyaruhusu maandamano hayo ambayo BAVICHA na UVICCM watakuwa wamoja kushiriki maandamano hayo. Yatapokelewa na Mwamba wa ufipa.
Kwani alishinda?km vipi ungechakachua.Wewe ndio umeweka upumbavu huo ili loser Magu aonekane
Propaganda bwana,halafu u think people will buy that nonsense
Umemjibu vizuri Sana.Hao runner up wote toa
Contestants walikua wawili wawili,sasa aliekua anatakiwa ni mmoja tu
Kama washiriki ni wawili wawili kila category,then lazima kutakua na wa kwanza na wa pili,hakuna mwingine tena
Ingekua contestants ni wengi zaidi ya wawili then kungekua na Winner halafu Runner-Up
Umeweka concept ya Runner Up ili loser Magufuli aonekane
Bro,kuna winner Ambae ni Addo halafu kuna Loser ambae ni Magufuli,usiweke neno Runner-Up!
Hakuna watoto hapa