tundiiiiiiiiiiii?
Fidel80, Leo hawajanywa supu ya pweza
wazenji wamechoa sasa ni 1 kwa 1
nimepitia mwembechai kwa yule mpemba kesha maliza hapa nasubili paja la tetea wa kienyeji mkuu
bj shida ideroo
Haya mambo mengine ya divai ni ya madhabahuni..usirudie tenasasa zile divai ndio huwa tabia yako au ni jana tu
hivi kuna tofauti gani kati ya jf senior expert member na jf premium member?kama jf premium member ni cheyo kikubwa kuliko jf senior expert member,basi itakuwa wakati muafaka wa kumtunuku finest cheyo hiki?au sifa hazijatosha?
haya mambo mengine ya divai ni ya madhabahuni..usirudie tena
Haya mambo mengine ya divai ni ya madhabahuni..usirudie tena
wewe hujasahau tuuuu heee haya mwaya
kweli mkuu. Yaani ni ngumu kujua anaandika saa ngapi na anaandika nini?
But amepiga speed ya kutisha! Anastahili pongezi. Labda wapwa watasema ni jinsi gani tunaweza kumpatia juice leo!
wiselady umemuacha guest ipi????
Halafu sijui yukoje kwani chumbani hakujui????????
mkuu sijapata muda wa kutuma mchango wangu kwa ajili ya jf ili nipate status ya jf premium member
Hapo kwenye bold unamaanisha tumtunuku u-UDP au nini mkuu!Hivi kuna tofauti gani kati ya JF SENIOR EXPERT MEMBER na JF PREMIUM MEMBER?kama JF PREMIUM MEMBER ni cheyo kikubwa kuliko JF SENIOR EXPERT MEMBER,basi itakuwa wakati muafaka wa kumtunuku FINEST cheyo hiki?au sifa hazijatosha?