The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Imeandikwa mvumilivu hula mbivu. Afu kama bado umenuna niambie nilog out.
Huyu Asprin sijui alimuibia mtalii gani hiyo laptop
Imeandikwa mvumilivu hula mbivu. Afu kama bado umenuna niambie nilog out.
Yeah nakumbuka...nakukubali sana Afrodenzi
Thaanx...xoxo
Huwa hata mimi wananikosha kwa mada zao especially The Finest na Mbu huwa ninahisi labda this guys watakuwa wameoa
Hommie mbona unachungulia kwenye vungu za watu? khaa....kikazi naona hapoSaraM....hii ni lugha gani.....lol
Danganya toto kula kande mbichi.........hahaahh lol
haya babu ...Hivi anakitambi skuizi..
mbaona aliniambia anapiga gym ile mbaya eti ana six pack ...
Aisee hii picture calling ujue. Kanuni na sheria za JF haziruhusu. Be warned!
Huyu Asprin sijui alimuibia mtalii gani hiyo laptop
dahhhhh Mbu unanitamanisha eti..
mate yameanza toka nataka kusikia full story ..
Ukipata muda nenda kule tueleze tu ulianzaje anzaje mpaka hapo aliposena "yes", "NO" au "MAYBE"
halafu story hapa haziendani kidogo ...
bibie anasema bado hajapokea .. duuuhhhhh
utuwekee na details kidogo mfano .. ilikuwa ya Gold na Tanzanite kwa juu au diamond ya carat ...
Twakusuburi asante..
Ngoja kwanza! Ni hivi hawa watu wana mvuto, wanapenda marafiki na wanajua taratibu za jamvi hili ni wastaarabu hata kama umewakera na siyo hao tu wapo na wengine wengi na ziada sana hawaiachi Thread hewani anakuwepo kuwajibu watu na kuchart nao kwa upendo wanaelimisha bila kumhukumu mtember mwingine.
Wanaletaje utani kwenye jukwaa la MMU. Wapeleke mautani yao kule jukwaa la Jokes. Ukikutana nao waambie ODM amewatukana: Malabuku!Well said mkuu........pia wananogesha na mautani
Hivi Teamo bado hajarudi kutoka Igunga kwenye zoezi la ugawaji wa chakula kwa wapiga kuraSubiri kwanza LiFinest lilale kwanza. Hivi ushaona kitambi chake?
One Love Kivumah pamoja sanaDestiny is not a matter of chance;
it's a matter of choice. It is not a
thing to be waited for; it is a thing
to be achieved.
Yes u guys Make JF alive every day.
Congratulations.
The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo
Wanaletaje utani kwenye jukwaa la MMU. Wapeleke mautani yao kule jukwaa la Jokes. Ukikutana nao waambie ODM
amewatukana: Malabuku!
Destiny is not a matter of chance;
it's a matter of choice. It is not a
thing to be waited for; it is a thing
to be achieved.
Yes u guys Make JF alive every day.
Congratulations.
The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo
Eh namshukuru MUNGU hukuwa Ditective wala Lawyer..........maana kwa udaku binti hachomoi hapa. Hahahahahah jamani Mbu kasema anayo (ina maana bado hajaitoa kwa muhusika) hahahahha. Mwe !!
AfroDenzi unachakachua thread
Wanaletaje utani kwenye jukwaa la MMU. Wapeleke mautani yao kule jukwaa la Jokes. Ukikutana nao waambie ODM amewatukana: Malabuku!
One Love Kivumah pamoja sana
Aisee
Khaaaaa!!!! Lol
Haya....rudi kule ukanigongee ka LIKE, vinginevyo naenda kukidiliti hicho kichekesho............hahahaaaaaaaaa umeona sasa ODM
Hehehe!!! Homu boiAisee
wanasema sijui nini vilie imepata wakunaji..lol
Leo kuna ntu zitapasuka kichwa humu..lol