The Financial Times laipigia debe Tanzania kwenye Utali, nini kimetokea?

Inawezekana ni ‘marketing ploy’ tu (above the line promotion).

Its common practice kulipia nakala kwenye gazeti (sponsored articles) especially kwenye tourism. Wanaandika mambo unayoyataka to raise awareness with a touch of journalism.

Either way ni jambo zuri kuandikwa positively na FT.
 
Inawezekana ni ‘marketing ploy’ tu (above the line promotion).

Its common practice kulipia nakala kwenye gazeti (sponsored articles) especially kwenye tourism. Wanaandika mambo unayoyataka to raise awareness with a touch of journalism.

Either way ni jambo zuri kuandikwa positively na FT.
Nijambo Positive sana
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Back
Top Bottom