Tazama na huyu nae, anaulizia hela? hela kwani hapa ujerumani?
Wanatakiwa waonyeshe mfano kwa fedha zao wanazopata bungeni japo kwa kuchimba visima tu. Si posho wamejidai hawazitaki! mbona kule wanalipwa na hawazirudishi, si wangezichukuwa wawachimbie visima wananchi waliowachaguwa? kinawashinda nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.