The fall of Gupta brothers, Mayahudi watu hatari sana

gupta ni newcomer africakusini,huwezi linganisha na hao wayahudi wa Deebers,hata kiutajiri tu hawa Gupta kumbe hawamzidi hata MO wa bongo,asilimia kubwa ya makaburu ni wayahudi,hakuna jipya kwa hii family moja ya kiyahudi kuegemea upande wa mandela enzi za ubaguzi,hata nyerere kuna wazungu walimsupport enzi za ukoloni
Gupta ktk vitabu estimated networh ni 800m lkn wako kwwnye billions sababu kazi yao kubwa hao ni money laundering mpk bank of Baroda south Africa wanairun wao kwa Mzigo wao mkubwa kwwnye article hapo kuna almost 8000 transactions za mana zimefichwa na Baroda ambz ni laundering mpk HV Baroda wanaondoka south Africa sababu wenye kuweka hela nyingi hawapo tena wamekimbia dubai
 
But how does Gupta brandishing their power,jetting arround in their private jet,having influence to some handfull politician relate to wayahudi ni watu hatari sana?
Where is the connection,that is what i want to know?
 
Huoni heshima hadi sasa ya Mandela ni kukubali kuwa na myahudi? Huoni Myahudi alivyokula sahani moja na weupe ili weusi nao wajimwae? Huoni kuporomoka kwa zuma kulitokana na Gupta kujifanya much know kwa myahudi?
Sasa mbona kwa sehemu kubwa ya article yako kashfa na ufisadi unawahusisha familia ya kihindi ya kina Gupta?
 
But how does Gupta brandishing their power,jetting arround in their private jet,having influence to some handfull politician relate to wayahudi ni watu hatari sana?
Where is the connection,that is what i want to know?
Brother hatubishani hapa katika article hii ina mambo mengi lkn miongoni mwa mambo yaliiwaangusha Gupta ni kutaka kuwaonyesha umwamba prominent rich families mfano familia kubwa ya kiyahudi ya Oppenheimer's. Na kwann nimechukua sehem hio ni sababu historia yao ya kuwasumbua yyt anaeingia ktk 18yao lipo andiko la barafu wakat anamtahadharisha Ndugu magufuli na barrick ukiipitia utaelewa vyema.

("one that pitted them against the Oppenheimers, the family dynasty that had been South Africa’s most powerful for a century.

The Oppenheimers had sold their shares in Anglo American and De Beers for billions. The heirs to the fortune — Nicky Oppenheimer and his son Jonathan, both passionate aviators — opened an ultraluxury private terminal in Johannesburg’s main airport in 2014, with fine dining and a gallery with art for sale.
But the Oppenheimers couldn’t get permission to handle international flights. Despite countless letters and calls to A.N.C. officials, the Oppenheimers were getting nowhere.
Eventually, they sued the government, accusing the Guptas of using their political influence to stall the business. The brothers, the Oppenheimers said, wanted in on the terminal.
According to court documents, the Guptas sent a message to the Oppenheimers that they had “the wrong B.E.E. partner” — referring to the Black Economic Empowerment program. If the Oppenheimers chose a partner endorsed by the Guptas, the documents said, their “problems would go away.”)
 
Article nzuri sana hii.
Nikipata muda nitaimalizia.

Nimeishia hapo Gupta anameet na jamaa anayejuana na Mbeki.
 
Nchi za kiafrika ni kawaida uongozi unapobadilika unakuja na mambo yake,Gupta ni mhanga wa hiyo hali, oppenheimers ni wakongwe wa south africa tangu zama za kudai ukombozi,madaraka yalibadilika influence ya oppernheimer ikafunikwa na new kids on the block,yaani Gupta,ndo maana walipata tabu kuruhusiwa kuendesha hiyo terminal mpaka waongee na kina Gupta,
itakuwa hawa kina Gupta walipata nguvu sana kipindi cha rais Zuma,
then change happened,
mambo yanabadirika,mfano loliondo walikuwa hawashikiki enzi za mwinyi then wakafifia,au hata kesi ya home shopping centre etc,kila zama na mambo yake,
ili nisiumize sana feeling za watu humu,haya nimekubali,wayahudi watu hatari sana,
case closed
 
Sasa mbona kwa sehemu kubwa ya article yako kashfa na ufisadi unawahusisha familia ya kihindi ya kina Gupta?
Sawa ila ukiisoma kiundani unaona jinsi ambavyo mafisadi wakuu wanavyotutawala kwa migongo ya weusi wenzetu. Aidha unaona madhira yanayo au yatakayompata JPM kwa kutaka TZ ijinasue kutoka makucha ya hao jamaa. Ukiona 2020 twende na membe hizo ni mbinu na mikakati ya wale ambao JPM amewanyang’anya tonge wanamrudi kama huyo myahudi. Hapa nalinganisha na issue ya Mbeki
 
Nchi za kiafrika ni kawaida uongozi unapobadilika unakuja na mambo yake,Gupta ni mhanga wa hiyo hali, oppenheimers ni wakongwe wa south africa tangu zama za kudai ukombozi,madaraka yalibadilika influence ya oppernheimer ikafunikwa na new kids on the block,yaani Gupta,ndo maana walipata tabu kuruhusiwa kuendesha hiyo terminal mpaka waongee na kina Gupta,
itakuwa hawa kina Gupta walipata nguvu sana kipindi cha rais Zuma,
then change happened,
mambo yanabadirika,mfano loliondo walikuwa hawashikiki enzi za mwinyi then wakafifia,au hata kesi ya home shopping centre etc,kila zama na mambo yake,
ili nisiumize sana feeling za watu humu,haya nimekubali,wayahudi watu hatari sana,
case closed
Upo sahihi mkuu, kuna siku ukweli wa JK na mafisadi utajulikana
 
Nchi za kiafrika ni kawaida uongozi unapobadilika unakuja na mambo yake,Gupta ni mhanga wa hiyo hali, oppenheimers ni wakongwe wa south africa tangu zama za kudai ukombozi,madaraka yalibadilika influence ya oppernheimer ikafunikwa na new kids on the block,yaani Gupta,ndo maana walipata tabu kuruhusiwa kuendesha hiyo terminal mpaka waongee na kina Gupta,
itakuwa hawa kina Gupta walipata nguvu sana kipindi cha rais Zuma,
then change happened,
mambo yanabadirika,mfano loliondo walikuwa hawashikiki enzi za mwinyi then wakafifia,au hata kesi ya home shopping centre etc,kila zama na mambo yake,
ili nisiumize sana feeling za watu humu,haya nimekubali,wayahudi watu hatari sana,
case closed
Hio familia ya Oppenheimer fuatilia historia yake na familia nyingi za kiyahudi huwa zinakuwa turufu na wababe. Nakupa mfano tu wa debeers walivomsumbua Dr williamson. Na pili swala la Gupta ukiliangalia kwa jicho kubwa utajua kwann walifeli walipoingia mgogoro na hio familia wapo watu walishirikiana na Zuma hata Mwenye kashfa ya 4.3 billion wahindi lkn mambo yalienda poa sabb walisamamia maslahi yao na sio kuingilia mipaka ya watu
 
1: si sahihi ku copy & paste the longest article like that... ungeweka link ingependeza zaidi

2: km uliamua kutusaidia ungeiweka kwa kiswahili ili wengi waelewe.

3: umewataja wayahudi ni hatari" haina mahusiano na article yako ..... inawezekana hujaielewa pia.
 
3: sidhani km umepata kibali ....since all their rights are reserved.
Screenshot_2018-12-23-12-59-03.jpg
 
Huku mgombani hata ufanyaje huwezi kumaliza kusoma yoote haya, nafkir nitairudia tarehe 5 nikirudi ubashiteni
 
Article nzuri sana. Kujikweza siyo poa kabisa. Ila watu weusi ni mbumbumbu sana. Hilo toto la Zuma limekaa kwenye picha linajichekeshachekesha tu.
 
1: si sahihi ku copy & paste the longest article like that... ungeweka link ingependeza zaidi

2: km uliamua kutusaidia ungeiweka kwa kiswahili ili wengi waelekeze

3: umewataja wayahudi ni hatari" haina mahusiano na article yako ..... inawezekana hujaielewa pia.

1. New York times unawajibu kusubscribe na kulipia kusoma articles na free huwa mwisho 4 kwahio ningeweka link huwenda wengine wasingesoma aidha wamefikia limit or else. Na pia jf hainizuii mie kuweka article sababu sio Twitter ambayo ina limit ya maandishi.
2. Nimeamua kuweka article kwa lugha tajwa ili nisipoteze ladha na hata ww waweza kutafsiri kama ulivoamua kucomment na pale kwwnye summary tumefanya kama unasoma post
3. Huenda ukawa huwajui familia ya Oppenheimer na siasa za kusini za Africa hasa kwenye biashara ya Madini na nyinginezo (google utawapata) ilichotumika kwenye article ni kuchukua a puzzle na kuling'angamua wanaita critical thinking. Na pia sababu ww ulitaka utafsiriwe kiswahili basi mtafte ole sigala utaelewa zaidi hio article
 
Back
Top Bottom