The European countries and Canada and the US are the great Enermies of the developing Nations

Hiki Kiingereza, hata mtoto wa darasa la 7 aliyefundishwa vizuri misingi ya lugha, hawezi kuandika ovyo kiasi hiki.

Si ajabu huyu aliyeandika hivi, amemaliza kidato cha 4!!

Kama hujui hiyo lughà, ungeandika hii niliyoandika mimi.

Kiingereza, kwa nchi yetu, ndiyo lugha tunayofundishiwa masomo, tena inafundishwa toka darasa la kwanza, kwa nini watu wengi hawana uwezo wa kuimudu? Hapa isiangaliwe tu kuwa ni lugha ambayo kiasili si yetu, ujumbe mzito tunaoupata ni kuwa Watanzania wengi hawafundishiki. Kama mtu anasoma miaka 12, wengine wanasoma miaka 16, hata miaka 18, halafu bado kitu alichofundishwa kwa miaka hiyo yote, hawezi kukimudu, lazima mtu huyu hafundishiki, na kutofundishika ndiyo uthibitisho wa kwanza kuwa mtu huyo ana IQ ndogo sana.
Kiongozi mbona hata kiswahili chetu pia kinatupiga chenga? Tupuyange tu.
 
Mzungu ni kama maji, usipoyanywa utayaoga. Usipoyaoga utayatumia kumwagiiia bustani yako.

Mtihani wa muafrika ni uwezo wa kisayansi wa kuzigeuza rasilimali alizonazo kuwa pesa.

Inabidi elimu yetu tuipitie upya kabisa, yale mambo ya kufundishana vitu vya ajabu mashuleni hasara yake ndio hii tunayoiona tunaposhindwa kuwa na utawala wa rasilimali tulizopewa na Mungu.
 
It has been over 400 years since the colonialism is there to be in Africa and other developing Nations of the third world countries.

In Fact we are not poor, because we feed the world with abundance of natural resources which costs billions of years that have been taken out of Africa.

They call us poor, but why are they coming to overexploit of natural resources since 400 years past.

They have been taking our timber, gold, Diamond, Flax, Cocoa, Natural gases.
You have everything required to be who/what you want. Hivi tulivyo ni matokeo ya tulivyo/tunayo yafanfa na tusio yafanya.
 
Back
Top Bottom