Uchaguzi 2020 The end justifies the means. CHADEMA itumie mbinu za kijasusi kuuondoa mfumo CCM madarakani

ngusillo

JF-Expert Member
Nov 5, 2019
1,064
2,014
Wengi wetu tunasoma jinsi USA walivyoisambaratisha USSR. Tunasoma jinsi mashirika nguli ya kijasusi kama CIA, MOSAD nk yanavyoendesha harakati za kuhujumu na kuwaondoa duniani maadui wa mataifa yao.

Bahati mbaya upinzani Tanzania (CHADEMA) wanadhani kuwa CCM ni chama kama wao walivyo. Wameshindwa kabisa kutambua kuwa CCM ni mfumo wa kidikteta uliohasisiwa na Nyerere kwa malengo ya kuwatawala watanzania, mtake msitake.

Wakati sasa umefika upinzani kujigeuza kuwa vikundi vya kijasusi na kijeshi vyenye lengo moja tu, la kuwakomboa watanzania dhidi ya mfumo ulioshindwa kuleta tija wa CCM.

Siamini na sitakaa niamini kuwa mifumo kama CCM huondoka kwa amani. Mifumo hii kung'oka labda impate mtu mwenye nia dhabiti kama Abiy Ahmed wa Ethiopia, aliyefanikiwa kuupunguza nguvu mfumo uliokuwepo wa kidikteta, japo hajamaliza.

CHADEMA 2020 mnalazimika kutumia ujasusi na mbinu za kivita zaidi. Ni ushauri tu, kama mnaona unafaa, na kwa nia njema kabisa, anzeni na kikundi kidogo cha intelligence. Siyo lazima kionekane kwenye katiba.

Na lengo la kikundi hiki liwe moja tu. Kuiondoa madarakani CCM na kuung'oa mfumo rushwa ulioshindwa wa CCM ndani ya miaka 10.
 
Ungewafuata huko kwenye vikao vyao siyo hapa JF. Sasa hapa siri si umeiweka wazi? Pia jua kuwa ndani ya Chadema wapo watu wazuri tu ambao watatoa siri zote kama unavyotoa wewe hapa!
Asante sana kwa ushauri. Najua kuwa wanapita huku pia. Na endapo wataona ni wazo jema, hawatafanya nilivyoandika hapa. Watabuni njia muafaka ya kutekeleza. Na njia za kuwashughulikia wavujisha siri pia.

Uwepo wa CIA, MOSAD, siyo siri, bali namna wanavyofanya kazi ndiyo siri.
 
Nasikia baadhi ya wabunge wale Wa chadema walioko ccm waliounga juhudi wanaandaliwa kutumika kisiri Na chadema.
 
Ungewafuata huko kwenye vikao vyao siyo hapa JF. Sasa hapa siri si umeiweka wazi? Pia jua kuwa ndani ya Chadema wapo watu wazuri tu ambao watatoa siri zote kama unavyotoa wewe hapa!
Kama walivyo baadhi ya watu wema ndani ya CCM wanaowapa wapinzani mipango ovu inayo endelea
 
Wazo zuri walifanyie kazi, chama cha Mashetani, waabudu mungu wao mwenge Nyamrunda nchi wameiharibu sana. Sijui watanzania tumemkosea nini Mungu mpaka akaamua kumleta shetani kupitia ccm.
 
Wengi wetu tunasoma jinsi USA walivyoisambaratisha USSR. Tunasoma jinsi mashirika nguli ya kijasusi kama CIA, MOSAD nk yanavyoendesha harakati za kuhujumu na kuwaondoa duniani maadui wa mataifa yao.

Bahati mbaya upinzani Tanzania (CHADEMA) wanadhani kuwa CCM ni chama kama wao walivyo. Wameshindwa kabisa kutambua kuwa CCM ni mfumo wa kidikteta uliohasisiwa na Nyerere kwa malengo ya kuwatawala watanzania, mtake msitake.

Wakati sasa umefika upinzani kujigeuza kuwa vikundi vya kijasusi na kijeshi vyenye lengo moja tu, la kuwakomboa watanzania dhidi ya mfumo ulioshindwa kuleta tija wa CCM.

Siamini na sitakaa niamini kuwa mifumo kama CCM huondoka kwa amani. Mifumo hii kung'oka labda impate mtu mwenye nia dhabiti kama Abiy Ahmed wa Ethiopia, aliyefanikiwa kuupunguza nguvu mfumo uliokuwepo wa kidikteta, japo hajamaliza.

CHADEMA 2020 mnalazimika kutumia ujasusi na mbinu za kivita zaidi. Ni ushauri tu, kama mnaona unafaa, na kwa nia njema kabisa, anzeni na kikundi kidogo cha intelligence. Siyo lazima kionekane kwenye katiba.

Na lengo la kikundi hiki liwe moja tu. Kuiondoa madarakani CCM na kuung'oa mfumo rushwa ulioshindwa wa CCM ndani ya miaka 10.
Mpaka sisi wananchi tuone haja hiyo. Maslahi ya kikundi kidogo hayawezi kutubabaisha. Kwani CHADEMA wana kipi cha maana kwetu wananchi ili tuwaunge mkono?
 
Wengi wetu tunasoma jinsi USA walivyoisambaratisha USSR. Tunasoma jinsi mashirika nguli ya kijasusi kama CIA, MOSAD nk yanavyoendesha harakati za kuhujumu na kuwaondoa duniani maadui wa mataifa yao.

Bahati mbaya upinzani Tanzania (CHADEMA) wanadhani kuwa CCM ni chama kama wao walivyo. Wameshindwa kabisa kutambua kuwa CCM ni mfumo wa kidikteta uliohasisiwa na Nyerere kwa malengo ya kuwatawala watanzania, mtake msitake.

Wakati sasa umefika upinzani kujigeuza kuwa vikundi vya kijasusi na kijeshi vyenye lengo moja tu, la kuwakomboa watanzania dhidi ya mfumo ulioshindwa kuleta tija wa CCM.

Siamini na sitakaa niamini kuwa mifumo kama CCM huondoka kwa amani. Mifumo hii kung'oka labda impate mtu mwenye nia dhabiti kama Abiy Ahmed wa Ethiopia, aliyefanikiwa kuupunguza nguvu mfumo uliokuwepo wa kidikteta, japo hajamaliza.

CHADEMA 2020 mnalazimika kutumia ujasusi na mbinu za kivita zaidi. Ni ushauri tu, kama mnaona unafaa, na kwa nia njema kabisa, anzeni na kikundi kidogo cha intelligence. Siyo lazima kionekane kwenye katiba.

Na lengo la kikundi hiki liwe moja tu. Kuiondoa madarakani CCM na kuung'oa mfumo rushwa ulioshindwa wa CCM ndani ya miaka 10.
Kajifunzeni kusoma na kuandika kwanza ndipo mrudi kuomba uongozi.
 
Umenigusa sana ,hilo nimuhimu kuliko pengine wafikiliavyo
Wengi wetu tunasoma jinsi USA walivyoisambaratisha USSR. Tunasoma jinsi mashirika nguli ya kijasusi kama CIA, MOSAD nk yanavyoendesha harakati za kuhujumu na kuwaondoa duniani maadui wa mataifa yao.

Bahati mbaya upinzani Tanzania (CHADEMA) wanadhani kuwa CCM ni chama kama wao walivyo. Wameshindwa kabisa kutambua kuwa CCM ni mfumo wa kidikteta uliohasisiwa na Nyerere kwa malengo ya kuwatawala watanzania, mtake msitake.

Wakati sasa umefika upinzani kujigeuza kuwa vikundi vya kijasusi na kijeshi vyenye lengo moja tu, la kuwakomboa watanzania dhidi ya mfumo ulioshindwa kuleta tija wa CCM.

Siamini na sitakaa niamini kuwa mifumo kama CCM huondoka kwa amani. Mifumo hii kung'oka labda impate mtu mwenye nia dhabiti kama Abiy Ahmed wa Ethiopia, aliyefanikiwa kuupunguza nguvu mfumo uliokuwepo wa kidikteta, japo hajamaliza.

CHADEMA 2020 mnalazimika kutumia ujasusi na mbinu za kivita zaidi. Ni ushauri tu, kama mnaona unafaa, na kwa nia njema kabisa, anzeni na kikundi kidogo cha intelligence. Siyo lazima kionekane kwenye katiba.

Na lengo la kikundi hiki liwe moja tu. Kuiondoa madarakani CCM na kuung'oa mfumo rushwa ulioshindwa wa CCM ndani ya miaka 10.
 
Back
Top Bottom