Naunga hoja mkonoJF ni ukumbi ambao mtu anaandika dhamira halisi ya moyo wake bila unafiki. Tuitumie JF kuwaambia watawala yanayotukera.
Tuandike sana wasome, wajue yanayokera, wananchi tunahitaji nini etc etc.
Mmh inategemea unaandika nini nadhaniUnaijua Ban mkuu?
Ukiandika bila unafiki, kuna uzi kufutwa pia.
Hapa JF uzi zinazofutwa ni 54%, na 46% ndiyo zinaachwa.Mmh inategemea unaandika nini nadhani
Sometimes inafanyika hivyo ili kutulinda sote pamoja na jukwaa letu pendwa... Hili linaweza kuwa gumu mpaka uwe umefuatwa PM ama nje ya JF na wasiojulikana na kupewa onyo la warning na vitishoHapa JF uzi zinazofutwa ni 54%, na 46% ndiyo zinaachwa.
hakuna uhuru wa kuandika kama inavyo hubiriwa.
Hii mada hii.. Nilitishiwa...Where we dare to talk openly...
Uliandika ishu nyeti sana ambayo kwa system yetu hapa wanadai taarifa kama hizo zinatakiwa kutolewa na mamlaka husika wakati mamlaka zenyewe ni either zinahusika au wanaficha maovu hawataki kuripoti hizo cases kuogopa kuchafua kantri yetu since tunajulikana ulimwenguni kuwa ni nchi ya amani na usalama😂Hii mada hii.. Nilitishiwa...
Maiti za Bagamoyo na mauaji ya Kibiti
Kwanza tumshukuru Mungu kuwa sasa mauaji ya Kibiti na viunga vyake yamepungua kwa kiasi kikubwa.. Lakini ni baada ya kuua watu wasiopungua 40, wakiwemo askari 13. Mauaji haya yalilenga kwa sehemu kubwa viongozi ngazi za chini na raia waliohisiwa wana mahusiano ama ukaribu na viongozi...www.jamiiforums.com
There is freedom of speech but i can not guarantee freedom after speech'Uliandika ishu nyeti sana ambayo kwa system yetu hapa wanadai taarifa kama hizo zinatakiwa kutolewa na mamlaka husika wakati mamlaka zenyewe ni either zinahusika au wanaficha maovu hawataki kuripoti hizo cases kuogopa kuchafua kantri yetu since tunajulikana ulimwenguni kuwa ni nchi ya amani na usalama
Nimekumbuka ule msemo wa Idi Amin 'There is freedom of speech but i can not guarantee freedom after speech'
Nadhani ndio maana wadau walikutisha kama kukuonya kwenye huo uzi
Yeah yeah😅There is freedom of speech but i can not guarantee freedom after speech'