Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,069
Aisee,huyo jamaa ana moyo kweli!Anakupa mifacts kibao unakuja na kimstari kimoja unaacha hoja zake za msingi,lumumba ni empty kabisa!Sasa maswali mengi ya nini?
Aisee,huyo jamaa ana moyo kweli!Anakupa mifacts kibao unakuja na kimstari kimoja unaacha hoja zake za msingi,lumumba ni empty kabisa!Sasa maswali mengi ya nini?
Ndio justification ya kumteka?Ni propaganda hususani habari za Africa
Hakuna kitu tulia wala usiulize.Mbona sielewi? Sijaangalia taarifa ya habari wala magazeti miezi sasa kuna nini kwani?
Waliwahi andika kwamba amemfukuza mama mmoja kazi jukwaani, wakati ukweli ni kwamba magufuri alitofautiana na yule mama jukwaani, baadae usiku ndio ikatangazwa kwamba ametimuliwa.kama upi? toa mfano
Kamuulize Julian AssangeNdio justification ya kumteka?
Watekaji na wauaji hawawezi kuwa mpango wa MunguKamuulize Julian Assange
Aendelee tena kuandika shenzi typeNdugu zangu,
Leo the Economist wamekiri kuwa Kabendera ni ripota wao kwa hapa Tanzania.
Ikumbukwe tokea mwaka 2017 baada ya serikali kuwadhibiti Acacia hili gazeti liliandika makala mfululizo kuchafua serikali na nchi ya Tanzania kwa uamuzi wa kusimamia rasilimali.
Kweli mzungu hana huruma baada ya kumtumia sasa wamemwanika.
View attachment 1168627
Aendelee tena kuandika shenzi type
Kamanda tulia..mnamuonea tu.
..shenzi type ni waliokubali tulipwe kishika uchumba cha usd 300 badala ya usd 191 billion ambazo tume za uchunguzi zilibaini tunawadai accacia.
Mimi Niko tayari kukuchangia kama utaomba msaada ila sharti langu USIRUDI TENA TANZANIA WEWE NA KIZAZI CHAKO!Mie ningekuwa na km 150m ningehama na familia yangu na kuukana uraia mara 3!
ExactlyKabendera aliokolewa na ccctv sawa na Wa tarime aliokolewa na cha moto chake zaidi yangemkuta ya lwajaba mtini mkuranga,sema tarehe zake zilikuwa bado kwa aibu kaishia kubambikwa kila mtu anajua gangster paradise state.
Acha upuuzi kwa hiyo hata hao wakina kikeke wa BBC na wale wa DW na frans International nao watasema wanachafua nchi,je mbona anasakamwa uraia badala ya uhaini kama unavyotaka kusema.
Kiufupi hata wewe ungekuwa mwandishi unaweza kufanya kazi na the econimist na mengineyo.
Tuache siasa kwenye maisha ya watu maana hata Magufuli hatabaki salama kama ataendelea kuwasakama watu,kwa sababu serikali ni watu na wala sio nchi.
Kumbe ulikuwepo eeh?Kabendera aliokolewa na ccctv sawa na Wa tarime aliokolewa na cha moto chake zaidi yangemkuta ya lwajaba mtini mkuranga,sema tarehe zake zilikuwa bado kwa aibu kaishia kubambikwa kila mtu anajua gangster paradise state.
Unajua maana ya intelligent unit wewe au hujui kibeberu, kifupi huyu jamaa hatakiwi kutoka mahabusu
Sent using Jamii Forums mobile app
1168627[/ATTACH]
MaCCM mna roho ya nguruwe kabisa.
Sasa mtu akiandika habari ambayo hamuipendi ndiyo anapewa kesi ya uraiya??