KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 696
Rais aliingia kwa mbwembwe nyiingi lakini hakuna kilichotokea. Assessment ya 'the economist' ni sahihi kabisa. Hakuna uzushi wala kusingiziwa. Inawezekana Kikwete was promising kabla hajaingia na alionekana kama mtu ambaye angeweza kuleta mabadiliko. Bahati mbaya in terms of kuleta mabadiliko he has been worse than Mkapa, yes worse Mkapa.
Mifano iko kila mahali. Hakuna sehemu ambapo unaweza kusema efficiency ime-ongezeka. Kote kumevurugika na kuzidi kuharibika. Mifano michache hapa chini;
1/ Aliingia akiahidi kupunguza bei ya umeme. Lakini tokea alipoingia TANESCO imekuwa chafu zaidi. Rushwa za maofisa wa Tanesco kwa walalahoi wanaotaka umeme zinazidi kushamiri kila mahali. Tanesco yenyewe na wizara ya madini na nishati zimezidi kuchafuliwa na misururu ya scandals.
2/ Bandari ya Dar es Salaam inaweza kuwa one of the best economic tools kwa Tanzania yenye mipaka na nchi 6 ambazo ni landlocked (Eastern congo is like another landlocked country). Lakini mismanagement ya bandari imeendelea na performance is so poor, wizi wa mizigo (vifaa vya magari, n.k.) unaendelea kama ilivyokuwa miaka kumi iliyopita, uzembe na uvivu kila mahali, you only see mismanagement everywhere. Hakuna improvement yoyote kwenye bandari despite president kwenda pale on a number of occasion. Anachofanya ni kulalamika kama watanzania wengine tunavyolalamika.
3/TRA inakusanya kodi nyingi zaidi. Lakini rushwa na uzembe, wizi na form nyingine za corruption bado ni hallmark ya hawa watoza ushuru wa Tanzania. Rais Kikwete hajarekebisha chochote alichokikuta. Miradi yote ni ile iliyokuwa inaendelea toka enzi za Mkapa. Hapa hakuna improvement yoyote.
4/Matumizi mabaya serikalini. Serikali inaendelea kuongoza kwa kutofuata sheria za kodi. Maofisa wengi wa serikali na Taasisi zake wanaendelea kulipwa malipo mengi yasiyokuwa na msingi wowote na hayakatiwi kodi. Ofisa wa serikali anasafiri analipwa posho yote, bado analipiwa hoteli (full board), nk. Maofisa wakubwa wengi wa serikalini hukaa maofisini mwao less than 25% of the time, muda wote wako safarini, na safari zingine zina overlap, lakini zote wanalipiwa posho na marupurupu. Vikao vinavyofanyika maofisini wanalipwa posho nono nono za vikao ambazo hazikatwi kodi!!! Kwenye sekta binafsi malipo yote kwa wafanyakazi ni lazima yapitie kwenye payroll na TRA is always terrorizing entrepreneurs na milolongo ya kodi zisizo na kichwa wala miguu. Kikwete hajarekebisha chochote hapa.
5/Mashirika ya umma yaliyorithiwa: TTCL sasa hivi inaandaliwa kufirisika ili iuzwe bure (kumbuka wakati wa mkapa jinsi NBC ilivyoandaliwa kuuzwa bure). Serikali imeendelea kung'ang'ania mkataba mbovu kati ya TTCL na Celtel international ambao unaifanya TTCL iendelee kuwa mateka wa mshindani wake (Zain) na hivyo kushindwa kuimplement chochote kinachoeleweka na kuelekea kwenye kufilisika. Kikwete aliingia kwa ahadi ya kurekebisha lakini hakuna kilichorekebishwa na maisha yanaendelea as usual. Kinachoendelea ndani ya mashirika mengine yote ya umma makubwa; TRL, TANESCO, ATC, Bandari, etc. ni upuuzi ule ule. No change, ni kama hakuna serikali mpya iliyoingia madarakani.
6/Perfomance ya wizara kama utalii (TANAPA), Wizi wa magogo, vitalu vya uwindaji etc.....etc. Wizara ya Ardhi imerudi kwenye uozo wake wa zamani uzembe katika allocation ya viwanja, rushwa, utapeli na kila kitu vinaendelea. Ni wizara gani unaweza kusema imerekebisha mambo na ni more efficient?? Angalia mradi wa vitambulisho na jinsi ulivyokuwa embroilled katika scandals ambazo hazieleweki!!!! Where is efficiency ndani ya serikali?? Wapi kumebadilika?
Toka kuwe na presidential term limits inaonekana marais wote walijitahidi miaka mitano ya kwanza. Ile ya pili ikawa disaster. Kumbuka Mzee ruksa aliingia na fagio la chuma (kuleta efficiency serikalini), miaka mitano ya mwisho was full of scandals.
Mkapa miaka yake mitano alileta matumaini kwenye kudhibiti matumizi ya fedha na ukusanyaji wa kodi. Lakini miaka mitano ya mwisho was full of scandals za corruptions etc.
Sasa Kikwete on first 5 years hali imekuwa hivi. Miaka mitano ya mwisho itakuwaje??? Ni kweli kama wanavyosema economist atachaguliwa tu. Lakini ujue hiyo miaka mitano ataitumia kujenga network ya watakaomlinda atakapoondoka. kama hajafanya kitu sasa forget baadaye!!
Mifano iko kila mahali. Hakuna sehemu ambapo unaweza kusema efficiency ime-ongezeka. Kote kumevurugika na kuzidi kuharibika. Mifano michache hapa chini;
1/ Aliingia akiahidi kupunguza bei ya umeme. Lakini tokea alipoingia TANESCO imekuwa chafu zaidi. Rushwa za maofisa wa Tanesco kwa walalahoi wanaotaka umeme zinazidi kushamiri kila mahali. Tanesco yenyewe na wizara ya madini na nishati zimezidi kuchafuliwa na misururu ya scandals.
2/ Bandari ya Dar es Salaam inaweza kuwa one of the best economic tools kwa Tanzania yenye mipaka na nchi 6 ambazo ni landlocked (Eastern congo is like another landlocked country). Lakini mismanagement ya bandari imeendelea na performance is so poor, wizi wa mizigo (vifaa vya magari, n.k.) unaendelea kama ilivyokuwa miaka kumi iliyopita, uzembe na uvivu kila mahali, you only see mismanagement everywhere. Hakuna improvement yoyote kwenye bandari despite president kwenda pale on a number of occasion. Anachofanya ni kulalamika kama watanzania wengine tunavyolalamika.
3/TRA inakusanya kodi nyingi zaidi. Lakini rushwa na uzembe, wizi na form nyingine za corruption bado ni hallmark ya hawa watoza ushuru wa Tanzania. Rais Kikwete hajarekebisha chochote alichokikuta. Miradi yote ni ile iliyokuwa inaendelea toka enzi za Mkapa. Hapa hakuna improvement yoyote.
4/Matumizi mabaya serikalini. Serikali inaendelea kuongoza kwa kutofuata sheria za kodi. Maofisa wengi wa serikali na Taasisi zake wanaendelea kulipwa malipo mengi yasiyokuwa na msingi wowote na hayakatiwi kodi. Ofisa wa serikali anasafiri analipwa posho yote, bado analipiwa hoteli (full board), nk. Maofisa wakubwa wengi wa serikalini hukaa maofisini mwao less than 25% of the time, muda wote wako safarini, na safari zingine zina overlap, lakini zote wanalipiwa posho na marupurupu. Vikao vinavyofanyika maofisini wanalipwa posho nono nono za vikao ambazo hazikatwi kodi!!! Kwenye sekta binafsi malipo yote kwa wafanyakazi ni lazima yapitie kwenye payroll na TRA is always terrorizing entrepreneurs na milolongo ya kodi zisizo na kichwa wala miguu. Kikwete hajarekebisha chochote hapa.
5/Mashirika ya umma yaliyorithiwa: TTCL sasa hivi inaandaliwa kufirisika ili iuzwe bure (kumbuka wakati wa mkapa jinsi NBC ilivyoandaliwa kuuzwa bure). Serikali imeendelea kung'ang'ania mkataba mbovu kati ya TTCL na Celtel international ambao unaifanya TTCL iendelee kuwa mateka wa mshindani wake (Zain) na hivyo kushindwa kuimplement chochote kinachoeleweka na kuelekea kwenye kufilisika. Kikwete aliingia kwa ahadi ya kurekebisha lakini hakuna kilichorekebishwa na maisha yanaendelea as usual. Kinachoendelea ndani ya mashirika mengine yote ya umma makubwa; TRL, TANESCO, ATC, Bandari, etc. ni upuuzi ule ule. No change, ni kama hakuna serikali mpya iliyoingia madarakani.
6/Perfomance ya wizara kama utalii (TANAPA), Wizi wa magogo, vitalu vya uwindaji etc.....etc. Wizara ya Ardhi imerudi kwenye uozo wake wa zamani uzembe katika allocation ya viwanja, rushwa, utapeli na kila kitu vinaendelea. Ni wizara gani unaweza kusema imerekebisha mambo na ni more efficient?? Angalia mradi wa vitambulisho na jinsi ulivyokuwa embroilled katika scandals ambazo hazieleweki!!!! Where is efficiency ndani ya serikali?? Wapi kumebadilika?
Toka kuwe na presidential term limits inaonekana marais wote walijitahidi miaka mitano ya kwanza. Ile ya pili ikawa disaster. Kumbuka Mzee ruksa aliingia na fagio la chuma (kuleta efficiency serikalini), miaka mitano ya mwisho was full of scandals.
Mkapa miaka yake mitano alileta matumaini kwenye kudhibiti matumizi ya fedha na ukusanyaji wa kodi. Lakini miaka mitano ya mwisho was full of scandals za corruptions etc.
Sasa Kikwete on first 5 years hali imekuwa hivi. Miaka mitano ya mwisho itakuwaje??? Ni kweli kama wanavyosema economist atachaguliwa tu. Lakini ujue hiyo miaka mitano ataitumia kujenga network ya watakaomlinda atakapoondoka. kama hajafanya kitu sasa forget baadaye!!