The Economist la Wiki hii - Zanzibar

Zitto

Former MP Kigoma Urban
Mar 2, 2007
1,562
10,880
Tanzania hupata nafasi chache sana kuandikwa na gazeti hili la wiki. Wastani ni makala 1 kwa mwaka kuhusu Tanzania. Habari za Mkutano wa maalim Seif na Karume zimepata uzito katika The Economist. Makala yao hii.



Taking the spice out of politics

Nov 12th 2009 | ZANZIBAR TOWN
From The Economist print edition
A pact between the island’s rival parties could prevent more violence and unrest



TANZANIANS are proud of the fact that it was their president, Jakaya Kikwete, who won the race to the White House. Ghana may have been Africa’s first sub-Saharan country to host Barack Obama as president, but Mr Kikwete was Africa’s first head of state to be received in Washington, DC, by the new American leader: a striking endorsement of his country. With messy Kenya and chaotic Congo across the border, and lawless Somalia just up the coast to the north, Tanzania is now viewed in the West as a regional haven of calm in a turbulent neighbourhood.
But there has been a big blot on Tanzania’s record over the years: Zanzibar. The last three elections on the offshore islands that comprise the territory—Pemba and Zanzibar itself—have been increasingly violent and disputed. The opposition Civic United Front (CUF) claims that the elections of 1995, 2000 and 2005 were all stolen by the local branch of Tanzania’s ruling Party of the Revolution, better known by its Swahili initials, CCM.




Last time round, independent observers certainly found many examples of fraud by the CCM in a poll that it officially won by a narrow margin. The result prompted riots by CUF supporters; some were injured in battles with the police. So anxiety about next year’s elections on the islands has been rising. Angry and frustrated CUF militants may react even more fiercely if their party loses yet again.
However, a very rare meeting on November 5th between the CCM president of Zanzibar, Amani Karume, and the CUF’s leader on the islands, Seif Shariff Hamad, may calm things down. The pair declared a peace deal of sorts. Mr Hamad acknowledged Mr Karume as Zanzibar’s legitimate president, something the CUF had hitherto resisted in protest against the rigged election of 2005. Mr Karume in turn says that the government will ensure a fair election next year. The idea of a power-sharing government was also mooted.
Details of the pact remain sketchy. Whatever has been agreed, the CUF’s leaders will find hard to sell it to their supporters, many of whom refuse to believe anything the CCM promises. CUF activists argue that the government is already rigging the next election by denying them the opportunity to register for a vote. But two factors are pushing the sides towards reconciliation: the prospect of oil and the spectre of Islamist terrorism.
Zanzibar already enjoys a large degree of political autonomy from the mainland within the union of Tanzania (born of Tanganyika and Zanzibar coming together in 1964, soon after independence). It has its own parliament, president and anthem. The opposition CUF does not demand secession but wants the islanders to run their own economy. Zanzibar, they complain, always gets a worse deal in terms of aid and investment from abroad. The CUF people say that, despite the popularity of Zanzibar’s ritzy hotels, 70% of the islanders live on no more than $1 a day.
But the discovery of oil and gas under the waters around the islands may change that. Nothing has yet been found but there is a lot of drilling. Both parties want Zanzibar to have the lion’s share of profits if oil begins to flow. Indeed, the CCM’s Zanzibar branch, normally loyal to the national leadership, has broken with it to work alongside the CUF in calling for a change to the union’s constitution to ensure that Zanzibar gets a bigger slice of prospective oil profits than it does, for instance, of Tanzania’s foreign aid, less than 5% of which is allocated to the islands.
Both sides are also aware of the threat of Islamist terrorism spreading down the coast from Somalia. American diplomats repeatedly mention it. So far there has been no sign of extremism on Zanzibar, with its proud Muslim heritage, but CUF leaders such as Ismail Jussa, the party’s foreign affairs spokesman, give warning that if Western-style democracy fails again people may look to sharia law and to political Islam as an alternative, “as they have done elsewhere”.
 
Tanzania hupata nafasi chache sana kuandikwa na gazeti hili la wiki. Wastani ni makala 1 kwa mwaka kuhusu Tanzania. Habari za Mkutano wa maalim Seif na Karume zimepata uzito katika The Economist. Makala yao hii.

Iliyopita si ndwele ndwele ijayo.
 
I think if the CUF and SMZ really mean what they showed the world then it's a good start.
 
Tanzania hupata nafasi chache sana kuandikwa na gazeti hili la wiki. Wastani ni makala 1 kwa mwaka kuhusu Tanzania. Habari za Mkutano wa maalim Seif na Karume zimepata uzito katika The Economist. Makala yao hii.



Taking the spice out of politics

Nov 12th 2009 | ZANZIBAR TOWN
From The Economist print edition
A pact between the island’s rival parties could prevent more violence and unrest



TANZANIANS are proud of the fact that it was their president, Jakaya Kikwete, who won the race to the White House. Ghana may have been Africa’s first sub-Saharan country to host Barack Obama as president, but Mr Kikwete was Africa’s first head of state to be received in Washington, DC, by the new American leader: a striking endorsement of his country. With messy Kenya and chaotic Congo across the border, and lawless Somalia just up the coast to the north, Tanzania is now viewed in the West as a regional haven of calm in a turbulent neighbourhood.
But there has been a big blot on Tanzania’s record over the years: Zanzibar. The last three elections on the offshore islands that comprise the territory—Pemba and Zanzibar itself—have been increasingly violent and disputed. The opposition Civic United Front (CUF) claims that the elections of 1995, 2000 and 2005 were all stolen by the local branch of Tanzania’s ruling Party of the Revolution, better known by its Swahili initials, CCM.





Last time round, independent observers certainly found many examples of fraud by the CCM in a poll that it officially won by a narrow margin. The result prompted riots by CUF supporters; some were injured in battles with the police. So anxiety about next year’s elections on the islands has been rising. Angry and frustrated CUF militants may react even more fiercely if their party loses yet again.
However, a very rare meeting on November 5th between the CCM president of Zanzibar, Amani Karume, and the CUF’s leader on the islands, Seif Shariff Hamad, may calm things down. The pair declared a peace deal of sorts. Mr Hamad acknowledged Mr Karume as Zanzibar’s legitimate president, something the CUF had hitherto resisted in protest against the rigged election of 2005. Mr Karume in turn says that the government will ensure a fair election next year. The idea of a power-sharing government was also mooted.
Details of the pact remain sketchy. Whatever has been agreed, the CUF’s leaders will find hard to sell it to their supporters, many of whom refuse to believe anything the CCM promises. CUF activists argue that the government is already rigging the next election by denying them the opportunity to register for a vote. But two factors are pushing the sides towards reconciliation: the prospect of oil and the spectre of Islamist terrorism.
Zanzibar already enjoys a large degree of political autonomy from the mainland within the union of Tanzania (born of Tanganyika and Zanzibar coming together in 1964, soon after independence). It has its own parliament, president and anthem. The opposition CUF does not demand secession but wants the islanders to run their own economy. Zanzibar, they complain, always gets a worse deal in terms of aid and investment from abroad. The CUF people say that, despite the popularity of Zanzibar’s ritzy hotels, 70% of the islanders live on no more than $1 a day.
But the discovery of oil and gas under the waters around the islands may change that. Nothing has yet been found but there is a lot of drilling. Both parties want Zanzibar to have the lion’s share of profits if oil begins to flow. Indeed, the CCM’s Zanzibar branch, normally loyal to the national leadership, has broken with it to work alongside the CUF in calling for a change to the union’s constitution to ensure that Zanzibar gets a bigger slice of prospective oil profits than it does, for instance, of Tanzania’s foreign aid, less than 5% of which is allocated to the islands.
Both sides are also aware of the threat of Islamist terrorism spreading down the coast from Somalia. American diplomats repeatedly mention it. So far there has been no sign of extremism on Zanzibar, with its proud Muslim heritage, but CUF leaders such as Ismail Jussa, the party’s foreign affairs spokesman, give warning that if Western-style democracy fails again people may look to sharia law and to political Islam as an alternative, “as they have done elsewhere”.

I am always concerned about the red bold in the zanzinbar politics.
 
CCM hawakawii kuingia gizana na kuanza mauza mauza , so mie nawatakia kila jambo jema ila CCM watasimia haki ama watatumia majeshi tena kuchukua kura za CUF huko Zenji maana bara hakuna kitu kabisa
 
JK is always shining na watu wanadhani kuwa mkutano huu unaweza kuwa umetokea bahati mbaya au bila juhudi za dhati za rais wetu mpendwa jk.Bravo JK wetu.
 
JK is always shining na watu wanadhani kuwa mkutano huu unaweza kuwa umetokea bahati mbaya au bila juhudi za dhati za rais wetu mpendwa jk.Bravo JK wetu.
Mkuu,
Tuwe wakweli hapa kidogo si Kikwete wala CCM iliyohusika na mkutano wa Maalim Seif na Karume...JK aliahidi kumaliza matatizo ya kisiasa Zanzibar na matokeo yake tumeona yeye na chama chake walivyofanya Butiama kule...hatua hii mpya haihusu any bipartisan committee or initiator...except Zanzibaris themselves through their leaders i.e, Maalim Seif and President Karume...Kikwete has nothing to do with this.
 
Mkuu,
Tuwe wakweli hapa kidogo si Kikwete wala CCM iliyohusika na mkutano wa Maalim Seif na Karume...JK aliahidi kumaliza matatizo ya kisiasa Zanzibar na matokeo yake tumeona yeye na chama chake walivyofanya Butiama kule...hatua hii mpya haihusu any bipartisan committee or initiator...except Zanzibaris themselves through their leaders i.e, Maalim Seif and President Karume...Kikwete has nothing to do with this.


Yakhe wewe junius huyo kiumbe ameweka mtego na wewe umeingia tele kama vile pishi ya mchele ,hiyo ndio ilikuwa zamira yake kuchokonowa watu ili aone nini kitasemwa kwa watu kama wewe na wengineo, umesahau ule msemo unaosema (Asie juwa maana hambiwi maana ukimwambia maana atasema umemtukana)hao ndio wale waliokuwa wakiuogopa umande wa asubuhi na kubakia chini ya kwapa za mama zao.
 
Napongeza kuweza kufikia hapa kunamwelekeo wa suluhu, lakini taarifa kuwa sketchy kama zilivyo najiuliza what are the common interests of the two?? what is that offer that was not refutable after long bitter rivalry? call me a pesimist lakini mghhhh!!!???
 
Maalim seif anamkubali zaidi Ali Karume kulliko mazagazaga mengine... habari ndio hiyo
 
JK is always shining na watu wanadhani kuwa mkutano huu unaweza kuwa umetokea bahati mbaya au bila juhudi za dhati za rais wetu mpendwa jk.Bravo JK wetu.

Why am I not surprised? Because you are a Nchimbi. Kwamba ndugu yako FEKI dactor amepewa unaibu waziri basi wote tushangilie.

Mkuu,
Tuwe wakweli hapa kidogo si Kikwete wala CCM iliyohusika na mkutano wa Maalim Seif na Karume...JK aliahidi kumaliza matatizo ya kisiasa Zanzibar na matokeo yake tumeona yeye na chama chake walivyofanya Butiama kule...hatua hii mpya haihusu any bipartisan committee or initiator...except Zanzibaris themselves through their leaders i.e, Maalim Seif and President Karume...Kikwete has nothing to do with this.

kwangu mimi ni mapema mno kusema this was a good move.sidhani kama mchezo mchafu utakosena wakati wa uchaguzi .maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti sana.yangu macho.

Napongeza kuweza kufikia hapa kunamwelekeo wa suluhu, lakini taarifa kuwa sketchy kama zilivyo najiuliza what are the common interests of the two?? what is that offer that was not refutable after long bitter rivalry? call me a pesimist lakini mghhhh!!!???
Mengine yote haya ni ushirika wa wachawi huu. Hauwezi kudumu.
 
JK is always shining na watu wanadhani kuwa mkutano huu unaweza kuwa umetokea bahati mbaya au bila juhudi za dhati za rais wetu mpendwa jk.Bravo JK wetu.

Acha unafiki! Tangu lini Kikwete akashine!? :confused: Kwa kipi hasa alichokifanya mpaka akashine!? Ufisadi umemshinda maana mafisadi ndiyo waliombeba hadi akaingia Ikulu anawaogopa kupita kiasi maana anajua wanajua yaliyofanyika hadi akaingia Ikulu. Ahadi zake za "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana" "Nitaipitia upya mikataba ya uchimbaji wa madini yetu" na "Ari mpya nguvu mpya na kasi mpya" zote ni bure kabisa hakuna hata moja aliyofanikisha. Sasa ni lipi aliloshine? Haya makubaliano na CUF kama tunaweza kuita hivyo ni usanii tu wa kuelekea 2010. Miaka 4 tangu aingie madarakani hajafanya chochote ili kufikia muafaka sasa miezi 11 kabla ya uchaguzi tunaambiwa kuna makubaliano, baada ya uchaguzi wa 2010 mkishaiba kura tena Zenj kama kawaida yenu na kutoa mkong'oto kwa "wakorofi wachache" ugomvi unarudi pale pale. Bravo Kikwete chaguo la mafisadi!
 
Back
Top Bottom