The economist Intelligence Unit; Global democracy index, Tanzania yetu ya 91, more democratic than Kenya, Uganda &Co.!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Pamoja na chuki, usaliti na kuiombea mabaya nchi yetu ikiwa ni pamoja na kuzunguka kwa Muzungu, kuandika barua sijui Jumuiya ya madola, kuiambia Dunia nzima kwamba Tanzania yetu na Raisi wetu ni dikteta lkn kwenye global democracy index 2018 Tanzania yetu ni 91 kati ya nchi 167, Uganda 96; Kenya 98 ingawaje bado tuna kazi kubwa lkn hali siyo mbaya kama Kenya au Uganda, hatuko kwenye kiundi la authoritarian regimes.

Raisi Magufuli mwendo huo huo, tuko sawa kabisa.

Orodha kamili inapatikana hapa; Which is the world's most democratic country?



 
Sasa kuwa wa 91 out of 167 ni sifa??what happen tungekuwa nafasi ya 20??
Jamani hizi akili zenu msije kuambukiza vizazi vyenu maana ndio mtoto darasani kitaaluma atashika nafasi ya 45 kati ya watoto 100 na kurudi nyumbani anashangilia kumbe uzuzu kaurithi kwa baba yake.
 
Ma fake news yenu mnayotengenezewa na kitengo cha propaganda cha nchi jirani
 
Back
Top Bottom