The easiest way to lie

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,934
26,635
The Easiestway to lie is to tell the truth and laugh so people think its sarcasm.
 
hahhahahahaha,

Yeah kwa mfano kama unazushiwa wewe ni mliberali halafu ni mliberali kweli, usipinge wala kupeleka watu mahakamani, wewe fanya press conference utaje ukweli kuhusu wewe halafu malizia na kicheko cha dharau. Like , " Watu wanasema mimi ni mliberali, eeh kweli wapo sahihi , mimi ni mliberali halafu cheka kicheko cha dharau " baada ya hapo anza kuzungumzia masuala mengine.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom